Haaaaaahaaaaaaaa,eti kokoroJamaa kalitupia JWTZ lile kokoro lake chakavu ili tusihoji!!!![]()
Ulitaka iwe mingapi ndiyo isiwe hivyo?Uwo msokoto mmoja wa bangi wamemchomekea tu haya mambo lisu aliwai kuyasema siku moja
Fikiria hapo ssNauliza tuu ...hivi mtu umeitwa police na unajua kabisa unaitiwa nini.... utaondoka nyumbani bila kuhakikisha hamna ushahidi wowote wa ile tuhuma uliyoitiwa????? Kama ni kweli nyumbani kwake kakutwa na bangi basi akili zake anazijua mwenyewe!
Daaaahh tunapoelekea....
Mtanzania anachekelea mwenzie kufungwa bila kufuata sheria. Ila siku yakimkuta yeye au ndugu yake atakua kutafuta huruma humu JF.
Kumbuka walianza na Mafao yenu, wakaja kwenye haki zenu za privacy, wakaja kwa haki zenu za kisiasa na sasa wanapoelekea....
Kwahiyo unataka kusema Godbless Lema sasa hv anafunzwa adabu kwa kukamatwa?Nikikumbuka matusi ya WEMA dhidi ya mgombea wa upinzani kipindi kile cha uchaguzi 2015, natamani nimwambie Jaji amfunge miaka 40 Ili iwe fundisho kwa wapumbavu wenzie.
Kina WEMA na grupu la mateja wenzie walivyokuwa wanashabikia kuanguka kwa upinzani, siwezi kuwaonea huruma kamwe! Wacha wafunzwe adabu!View attachment 467892
AAnatakiwa akafanyishwe kazi ngumu kama kulima na kuvunja kokoto hapo atatia akiliHuyu akikaa ndan miezi sita tu akirud uraiani atakua mtu wa tofauti sana kama alvokua lulu michael kwa Sasa.. Utoto unamuendesha sana
Yaaap xeee ukweli un wew uhakika aaanHii ndio Tanzania.
Usipokutwa na kosa polisi utatafutiwa kosa, na mara nyingi watampa mtu kesi ya kukutwa na bangi, silaha au madawa ya kulevya ili tu wasionekane wameshindwa.
Weweee kuliwa kuna utaratibu? Watu wanapigwa huku wamo ndani ya nondo unafikir masihala! Mtu anakitega nyuma ya nondo watu wanachomeka; watu unafikiri wanamaana kama unavyofikir?
Kutoka movie ya unga hadi bange ......
wamefanya nimekakumbuka ka wimbo ka 20%..
....bange bange bange imesababisha nikutoroke....
Mthumiwa mkuu ana msokoto mmoja wa bhangi!! Amazing!Huu utani sasa. Yaani tumeaminishwa issue unga kumbe bangi.
Nchi yangu Tanzaniaaaa jina lako ni tam sanaaaTanzania Tanzania Tanzania nakupenda Kwa moyo wote ....,,,,...