Wema Sepetu akutwa na hatia ya kukutwa na Madawa ya kulevya! Alipa faini na kuachiwa huru

And that's why we found a lot of poor prisoners in the prisons.


Yana mwisho .
Poor people I'm all about fighting for you.
 
Hawezi kulipa hata hiyo 2M maana alishajisalimisha muda mrefu
96ff1b902f7ce704405171cf8deb3dfb.jpg
 
Kifungo cha mwaka mmoja au faini milion mbili.. Khaaaa atashindwa kutoa m mbili tu?
 
Wangempima akili kwanza asingefungwa, naamini akili yake ina walakni, make kila skendo utamkuta.
 
Back
Top Bottom