Kuna watu hua wanasema wanawake hampendaniAfungwe tu nae maana ana kiherehre
Adhabu zote zimeainishwa kwenye sheria za makosa ya jinai. Kuna adhabu za faini, faini na kifungo, faini au kifungo, kifungo bila faini...Kwanini wameweka faini?
Makosa ya madawa yako mawili, kuna makosa ya kutumia na makosa ya kusafirisha. Makosa ya kutumia yana adhabu ndogo.Mimi mwenyewe nimeshangaa..dawa za kulevya adhabu M2??
Hongera bashiteeeeeeeeeeeeeeNi kutokana na kukutwa na hatia ya kutumia dawa za kulevya
Je kama hakimu ni mwanamke...?Kwani hajahonga papuchi kwa hakimu?
Jamani..Atajuaje kama huu ni utawala wa JIWE...!!!
Kwanini wasiweke, kuna makosa yenye kifungo au faini au kifungo na faini, ni swala la kisheria tuKwanini wameweka faini?
Kumbe ukikutwa na DAWA ZA KULEVYA adhabu yake ni ndogo hvyo..mill 2!??
Mimi mwenyewe nimeshangaa..dawa za kulevya adhabu M2??
Dawa za kulevya zina tofautiana uzito, jaribu kuangalia vizuri, fanya research sio unajishangaza tu, hukumu ya bangi na hukumu ya cocaine hazijawahi kufananaMimi mwenyewe nimeshangaa..dawa za kulevya adhabu M2??