- Thread starter
- #21
Soma vizuri umekurupukaKununua gunia tupu 500/=
Kupima na kushona 200/=
Kutoa mzigo porini kuleta stoo 10,000/=+
Ushuru njiani 2000/=
Wapakiaji 300/=
Kushusha na Kupanga stoo 500/=
Hifadhi ya stoo 10,000/=
Kijana wa kukusanya 1000/=
Uhalibifu 500/=
Cost ya kila gunia Jumla Tsh. 25,0000/=+ 30,000 ya manunuzi ,= 55,000/=
Hapa bado gharama za kukaa kijijini kula na kulala.
Bado vibali/leseni ya Mazao kama laki 7 au 6.
Bado tips za madalali na viongozi wa Vijiji kwa kifupi hii kazi usiichukulie poa Field ina wenyewe.