Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

Kununua gunia tupu 500/=
Kupima na kushona 200/=
Kutoa mzigo porini kuleta stoo 10,000/=+
Ushuru njiani 2000/=
Wapakiaji 300/=
Kushusha na Kupanga stoo 500/=
Hifadhi ya stoo 10,000/=
Kijana wa kukusanya 1000/=
Uhalibifu 500/=
Cost ya kila gunia Jumla Tsh. 25,0000/=+ 30,000 ya manunuzi ,= 55,000/=

Hapa bado gharama za kukaa kijijini kula na kulala.
Bado vibali/leseni ya Mazao kama laki 7 au 6.
Bado tips za madalali na viongozi wa Vijiji kwa kifupi hii kazi usiichukulie poa Field ina wenyewe.
Soma vizuri umekurupuka
 
. Sie ndo biashara yetu hiyo kwa miaka 6 sasa na sijawahi pata hiyo faida. Eti ununue mpunga 30k uje uuze 100K. Ni fix juu ya fix. Hujui kitu kaka kuhus biashara. Hii biashara inategemea na itu vingi sana nikianzakuvisema tutakesha.
Mtoto wa mama kizimkazi negative mind ujui unachoongea niko field now naendelea kukusanya
 
Kununua gunia tupu 500/=
Kupima na kushona 200/=
Kutoa mzigo porini kuleta stoo 10,000/=+
Ushuru njiani 2000/=
Wapakiaji 300/=
Kushusha na Kupanga stoo 500/=
Hifadhi ya stoo 10,000/=
Kijana wa kukusanya 1000/=
Uhalibifu 500/=
Cost ya kila gunia Jumla Tsh. 25,0000/=+ 30,000 ya manunuzi ,= 55,000/=

Hapa bado gharama za kukaa kijijini kula na kulala.
Bado vibali/leseni ya Mazao kama laki 7 au 6.
Bado tips za madalali na viongozi wa Vijiji kwa kifupi hii kazi usiichukulie poa Field ina wenyewe.
Imewahi kunitokea puani. Umeongea ukweli mkuu.
 
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
. Sie ndo biashara yetu hiyo kwa miaka 6 sasa na sijawahi pata hiyo faida
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
. Eti ununue mpunga 30k uje uuze 100K. Ni fix juu ya fix. Hujui kitu kaka kuhus biashara. Hii biashara inategemea na itu vingi sana nikianzakuvisema tutakesha.
Mtoto wa mama kizimkazi negative mind ujui unachoongea niko field now naendelea kk
Mazao ya kusafirisha yapo mengi, usikomae na mazao ya chakula ambayo bei zake hazikai juu muda mwingi.

Iliki,karafuu,mdalasini,pilipili zilizokaushwa unaweza ukasafirisha nje ya nchi na ukapata pesa kubwa zaidi
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
. Sie ndo biashara yetu hiyo kwa miaka 6 sasa na sijawahi pata hiyo faida
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
. Eti ununue mpunga 30k uje uuze 100K. Ni fix juu ya fix. Hujui kitu kaka kuhus biashara. Hii biashara inategemea na itu vingi

Watz kwa kupenda kutoa ushauri ambao wao hawauishi? Kama ni kweli uza/weka dhamana kibanda chako upate mtaji si utapata hela kubwa ya faida ununue au ujenge kubwa zaidi? Za kuambiwa changanya na za kwako!
Niko site niko site mtanzania
 
Salamaleko,

Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake gunia la debe sita la mpunga ni 30000. Na gunia la mahindi la debe sita linasoma 42,000.

Kama una mtaji wa kununua mpunga kwa kipindi cha mavuno basi una uhakika wa kuingiza mil 20 kwa mtaji wa mil 6 kwa muda wa miezi 5 (UHAKIKA)

MCHANGANUO
Gunia la mpunga 30,000 unanunua gunia 200 jumla inakuja 6,000,000 kwenye million 7 inakua imebaki million 1 kwa ajili ya kukava gharama za ukusanyaji na mambo mengine madogo madogo.

Huu tupo mwezi wa 5 ikifika mwezi wa 10/11/12 gunia la mpunga linafika 100,000l= kutoka 30k ya sasa.

Sasa una gunia 200 stoo zidisha 100,000 kwa kila gunia mzigo utasoma 20,000,000/= ukitoa mil 7 uliyowekeza UNABAKI NA 13,000,000/=KAMA FAIDA KWA MIEZI SITA (6) WOOW

NB: Ni bora kununua mpunga kuliko mahindi sababu mpunga hauna gharama sana kwenye kutunza kama mahindi

UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI UKU NILIKO KUNA FURSA NJOO TUWEKEZE

Ushauri maoni kurekebishana ruksa, nawakaribisha.

Mkuu biashara haiko hivo, ingelikuwa hivo kila mtu agelikuwa Bilionea.

Wapi huko bei ya Junia la mpunga ni 30,000?
 
Kununua gunia tupu 500/=
Kupima na kushona 200/=
Kutoa mzigo porini kuleta stoo 10,000/=+
Ushuru njiani 2000/=
Wapakiaji 300/=
Kushusha na Kupanga stoo 500/=
Hifadhi ya stoo 10,000/=
Kijana wa kukusanya 1000/=
Uhalibifu 500/=
Cost ya kila gunia Jumla Tsh. 25,0000/=+ 30,000 ya manunuzi ,= 55,000/=

Hapa bado gharama za kukaa kijijini kula na kulala.
Bado vibali/leseni ya Mazao kama laki 7 au 6.
Bado tips za madalali na viongozi wa Vijiji kwa kifupi hii kazi usiichukulie poa Field ina wenyewe.
Aisee mbona natishika na ndio biashara nayojipanga kuanza kuifanya huko kanda ya ziwa.
 
Salamaleko,

Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake gunia la debe sita la mpunga ni 30000. Na gunia la mahindi la debe sita linasoma 42,000.

Kama una mtaji wa kununua mpunga kwa kipindi cha mavuno basi una uhakika wa kuingiza mil 20 kwa mtaji wa mil 6 kwa muda wa miezi 5 (UHAKIKA)

MCHANGANUO
Gunia la mpunga 30,000 unanunua gunia 200 jumla inakuja 6,000,000 kwenye million 7 inakua imebaki million 1 kwa ajili ya kukava gharama za ukusanyaji na mambo mengine madogo madogo.

Huu tupo mwezi wa 5 ikifika mwezi wa 10/11/12 gunia la mpunga linafika 100,000l= kutoka 30k ya sasa.

Sasa una gunia 200 stoo zidisha 100,000 kwa kila gunia mzigo utasoma 20,000,000/= ukitoa mil 7 uliyowekeza UNABAKI NA 13,000,000/=KAMA FAIDA KWA MIEZI SITA (6) WOOW

NB: Ni bora kununua mpunga kuliko mahindi sababu mpunga hauna gharama sana kwenye kutunza kama mahindi

UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI UKU NILIKO KUNA FURSA NJOO TUWEKEZE

Ushauri maoni kurekebishana ruksa, nawakaribisha.
Jomba acha kujifanya mkristo sana kuliko yesu kristo mwenyewe. Kwanini usitajirike kwanza wewe ili uje utuandikie uzi jinsi ulivyofanikiwa kwenye hiyo biashara? Kwanini unataka watu wengi wapate hizo milioni 20? Huoni mkiwa wengi sana sokoni bei itakuwa ndogo?
 
Aisee mbona natishika na ndio biashara nayojipanga kuanza kuifanya huko kanda ya ziwa.
Kanda ya ziwa => KAHAMA

Gunia la Mahindi ni: 60,000
Gunia la Mpunga ambao ni Super yaani mbeyenge ni 70,000 hadi 80,000
Gunia la Kalamata ni 50,000 hadi 60,000.

Kweny biashara hii usiingie kichwa kichwa, utapigwa za Uso, unatakiwa kuwa mzoefu sana au utafute mtu ambaye atakuongoza, la sivyo utauziwa chenga Babu.
 
Kanda ya ziwa => KAHAMA

Gunia la Mahindi ni: 60,000
Gunia la Mpunga ambao ni Super yaani mbeyenge ni 70,000 hadi 80,000
Gunia la Kalamata ni 50,000 hadi 60,000.

Kweny biashara hii usiingie kichwa kichwa, utapigwa za Uso, unatakiwa kuwa mzoefu sana au utafute mtu ambaye atakuongoza, la sivyo utauziwa chenga Babu.
Ahsante kwa muongozo mkuu mpaka sasa nnae mtu atakaenipa miongozo ila bado nafanya tafiti.
 
Salamaleko,

Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake gunia la debe sita la mpunga ni 30000. Na gunia la mahindi la debe sita linasoma 42,000.

Kama una mtaji wa kununua mpunga kwa kipindi cha mavuno basi una uhakika wa kuingiza mil 20 kwa mtaji wa mil 6 kwa muda wa miezi 5 (UHAKIKA)

MCHANGANUO
Gunia la mpunga 30,000 unanunua gunia 200 jumla inakuja 6,000,000 kwenye million 7 inakua imebaki million 1 kwa ajili ya kukava gharama za ukusanyaji na mambo mengine madogo madogo.

Huu tupo mwezi wa 5 ikifika mwezi wa 10/11/12 gunia la mpunga linafika 100,000l= kutoka 30k ya sasa.

Sasa una gunia 200 stoo zidisha 100,000 kwa kila gunia mzigo utasoma 20,000,000/= ukitoa mil 7 uliyowekeza UNABAKI NA 13,000,000/=KAMA FAIDA KWA MIEZI SITA (6) WOOW

NB: Ni bora kununua mpunga kuliko mahindi sababu mpunga hauna gharama sana kwenye kutunza kama mahindi

UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI UKU NILIKO KUNA FURSA NJOO TUWEKEZE

Ushauri maoni kurekebishana ruksa, nawakaribisha.
Uko mkowa gani, mimi taka kuja huko kujionea mwenyewe.
 
Salamaleko,

Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake gunia la debe sita la mpunga ni 30000. Na gunia la mahindi la debe sita linasoma 42,000.

Kama una mtaji wa kununua mpunga kwa kipindi cha mavuno basi una uhakika wa kuingiza mil 20 kwa mtaji wa mil 6 kwa muda wa miezi 5 (UHAKIKA)

MCHANGANUO
Gunia la mpunga 30,000 unanunua gunia 200 jumla inakuja 6,000,000 kwenye million 7 inakua imebaki million 1 kwa ajili ya kukava gharama za ukusanyaji na mambo mengine madogo madogo.

Huu tupo mwezi wa 5 ikifika mwezi wa 10/11/12 gunia la mpunga linafika 100,000l= kutoka 30k ya sasa.

Sasa una gunia 200 stoo zidisha 100,000 kwa kila gunia mzigo utasoma 20,000,000/= ukitoa mil 7 uliyowekeza UNABAKI NA 13,000,000/=KAMA FAIDA KWA MIEZI SITA (6) WOOW

NB: Ni bora kununua mpunga kuliko mahindi sababu mpunga hauna gharama sana kwenye kutunza kama mahindi

UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI UKU NILIKO KUNA FURSA NJOO TUWEKEZE

Ushauri maoni kurekebishana ruksa, nawakaribisha.
Biashara ya kuhifadhi Mazao , inafaida sana, ila kumbuka kusoma alama za nyakati ni zao Gani litapanda Bei sana mwaka husika, Kwa kufanya utafiti wa zao husika Hali ya mavuno Kwa mwaka huo?
Jee maeneo mengi wamevuna, , kama ni mpunga angalia maeneo ya Shinyanga , Rukwa, Katavi, Mbeya na Tunduru,. Bahi kama mavuno miakubwa Bei itachelewa ya kupandia.
Kama ni Mahindi fuatilia mikoa ya Ruvuma, Rukwa, SongweI. , Iringq, Kiteto, Kondoa kujuwa Hali ya mavuno ndio ufanye maamuzi ya kuhifadhi nafaka
 
Back
Top Bottom