Mfalme/malkia ni mtawala asiye na madaraka ndiyo maana kuna Prime Minister wa chama kinachotawala na ndiye mwenye kuamua kama kwenda vitani kama alivyofanya Tonny Blair kwenye vita ya Iraq ingawa mtu kama Prince Charles mwana wa mfalme alipinga. Chama tawala na siyo malkia kinaamua nchi za kufadhili na nchi za kujenga nazo urafiki si Malkia.Hivi huko Uingereza kuna demokrasia? Mfalme kwa maana ya malkia anatawala miaka nenda rudi halafu unasema ndiyo demokrasia?
Hakuna kitu kibaya kama utumwa wa fikra.Waafrika tunataka kuanzisha ugomvi wa mawe wakati tunaishi kwenye nyumba ya vioo.Wazungu wakitujibu na kusema ukweli tutakuwa wapole na kujiona sisi si kitu.
Kwa mfano,ukimuuliza Mugabe ndege iliyomfikisha Addis Ababa imetengenezwa na Waafrika au Wazungu atakuwa na jibu gani?
Tujiuluze tu hata lugha zetu za kiafrika sisi wenyewe tunazithamini?Mbona karibu kila mahali barani Afrika ni kingereza na kifaransa tu?Wakitubeza kwa kushindwa hata kuthamini lugha zetu tutawajibu nini?Hata hiyo speech Mugabe kaitoa kwa lugha gani?
Nchi ya kiafrika ikikumbwa na njaa,huwa hatusubiri wazungu watusaidie?
Janga la Ebola huko Afrika Magharibi ni kina nani walitoa fedha kusaidia kukabiliana na tatizo hilo?
Viongozi wa kiafrika wakiiba hela katika nchi zao huficha katika nchi nyingine za kiafrika au huficha katika nchi za Ulaya?Wazungu wakilisema hili na kutudharau watakuwa wametuonea?
Jamani,yako mengi sana ya aibu kuhusu sisi wa Afrika na ndio maana wanatudharau hivyo ni bora kwanza tukajirekebisha kabla ya kujitia kimbelembele.
Tulichofanikiwa Waafrika ni kutoa wacheza soka tu kwenda Ulaya ila mambo mengine yote yametushinda ikiwa ni pamoja na hata kujitawala wenyewe kwa wenyewe.Hata DEMOKRASIA TU IMETUSHINDA!
Ngozi nyeusi ni shida kwani hata hizi dini zetu bado zimetoka kwa hao wazungu na hata video za Yesu zinaonyesha Yesu si mtu mweusi.
Alafu hata wapigania uhuru wa nchi za kiafrika walisomea nchi gani na kwa msaada wa watu gani zaidi ya hao wazungu?
Mugabe na vingozi wengine wa Kiafrika mpaka leo hii wanatibiwa na kufia Afrika au Ulaya?
Waafrika tunatafuta usawa kwasababu za kibinadamu tu lakini sio kwasababu za kuwa na viwango(standards)-hivi ndivyo mimi ninavyoamini na nitaendelea kuamini hivyo mpaka siku naingia kaburini.
Tujisahihishe kwa mengi kabla ya kuanza kubwabwaja na kutafuta usawa.
acha matusi wewe bila mzungu leo ungekuwa kwenu shitindi huko ,kuanzia asubuhi unapoamka mpaka unalala maisha yako asilimia 95 yanaendeshwa na mzungu .Wazungu ni binadamu kama sisi, wana udhaifu mwingi tu. Tusitake kuwalamba sana miguu yao, washenzi tu. Kwamba sayansi yote inatokana na vichwa vyao sio hoja ya kutufanya tukaishi kwa kuwaogopa kila kukicha. Mugabe anayo mamlaka ya kimaadili ya kuwaambia kile ambacho kinawakilisha mawazo na hisia za waafrika walio na uzalendo na bara lao. Mugabe ni mzee wa miaka 91, asipoongea yeye nani mwingine azungumze kwa niaba ya bara letu?. Tusiwe watumwa wa kimawazo kupita maelezo, tunayo haki ya kuwa na haki na kuwaambia wazungu kile tunachoona kinafaa kutamkwa.
Hakuna kitu kibaya kama mtu mweusi unaingia kwenye basi ukiwa ulaya halafu kuna mpumbavu mmoja anaanza kuigiza mlio wa sauti ya nyani. Unakatiza kwenye korido ya kituo cha treni mtoto mdogo tu wa kizungu anaanza kukucheka na kukukejeli. Umekaa na rafiki yako ndani a mgahawa, mnakunywa juice na kucheka huku mkikumbushana story za nyumbani ghafla katoto kadogo hata akajafikisha miaka mitano kanakuiteni nyinyi nyani halafu kanamuonyeshea mama yake kwa kidole kuelekea upande mliokaa. Yapo matukio mengi ya kishenzi ambayo mtu mweusi anakutana nayo nje ya Afrika.
Sioni kosa kwa mzee Mugabe kuwapa vidonge vyao hao wakoloni. Naunga mkono juhudi za serikali katika kukusanya kodi na kutafuta njia za kuongeza pato la ndani la Taifa. Kujitegemea kunaongeza jeuri ya utaifa, ombaomba inaongeza dharau. Mugabe yuko sahihi kabisa kuongea maneno anayoyaamini.
Bwana mdogo mimi naishi Dar , hao wazungu pamoja na kuchangia maendeleo lakini wasikufanye ukawa mtumwa wa mawazo. Wanaokumbukwa baada ya kufa mara nyingi ni kwa sababu katika uhai wao waliacha identity, waliacha legacy. Utaweza vipi kukumbukwa miaka mingi ijayo ikiwa wewe kila siku unawanyenyekea wale kutawala?.acha matusi wewe bila mzungu leo ungekuwa kwenu shitindi huko ,kuanzia asubuhi unapoamka mpaka unalala maisha yako asilimia 95 yanaendeshwa na mzungu .
Huna uelewa Mkuu wa nchi ni MalkiaMalkia hatawali uingereza acha kupotosha kunguni .kuna vyama vingi na kwa sasa david camerron ndio waziri mkee .
Ndugu yangu Malkia ndiye Head of State...Cameron akiteua baraza la mawaziri ni lazima aende kwa malkia kumfahamisha...Hiyo ndiyo katiba ya Uingereza ingawa hawana katiba iliyoandikwa.Malkia hatawali uingereza acha kupotosha kunguni .kuna vyama vingi na kwa sasa david camerron ndio waziri mkee .
Tukubali tukatae, "nature" ndio iliamua hali iwe hivi kati ya sisi na hawa wenzetu.Ni ukweli unaoumiza ingawa hatutaki kuukubali.Kuwaabudu wazungu na kukiri kuwa wana akili nyingi kuliko sisi ni upumbavu uliopitiliza. Shida ziliwapa wazungu nguvu ya kuumiza vichwa vyao na kutoka nje ya nchi zao. Afrika ina kila kitu,raha zinanyamazisha fikra. Mugabe ni miongoni mwa viongozi wachache sana wa maana waliotokea Afrika.Baba wa akili hanyenyekei wanaume wenzie bali huzungumza nao kwa hekima. China na Korea kaskazini haziwahi kuwanyenyekea hao wanaoabudiwa na wapumbavu. Sijaona China inavyokwama. Wazungu wamekubaliana wanaume kwa wanaume waoane,wanawake kwa wanawake waoane. Wazazi wasiwaadhibu watoto hata wakikosea lakini watoto hata wakiwaua wazazi wao hawafungwi kwa kuwa ni watoto. Mali inarithishwa kwa mbwa au paka. Ndiyo aina ya ustaarabu tuige toka Ulaya? Mwafrika mwamwona dhalili Obama anaitawala Dunia leo;je Obama si Mwafrika? Tukijiamini tutajitawala na kuitawala Dunia.
Swali dogo tu kwako NDAGLA pamoja na lugha uliotumia:Hivi mtu akisimama mbele ya watu na kusema mimi naitwa "Bitozi Nyangema" na mwingine akijita "Paul Peter".Ni nani atasababisha watu wacheke?Unafikiri ni kwanini?Na kwa hili tutalamu wazungu?
Nakuongezea na hii:Hata siku yako ya kuzaliwa au ya mwanao ikifika mnakusanyana sebuleni huku mkiimba ule wimbo maarufu wa birthday ambao uko kwa lugha ya kingereza.Yeyote anaweza sababisha watu kucheka/kutokucheka inategemea hadhira yake ni ya watu wanaojitambua kwa kiwango gani or wamekulia tamaduni zipi or anajitambulishia wapi.
Nyangema atachekwa akijitambulisha kwenye watu wenye mindset kama yako lakini kwangu sioni kichekesho kwa wote.
Wazungu lazima walaumiwe kwa kulazimisha ku-install apps za android kwenye windowsphone matokeo yake wametengeneza breed yenye mindset chakavu.
Mpumbavu wewe unayewapa masifa wazungu waliokutawala.nakuita tena mpumbavu kwa kushabikia utumwa na ukibaraka,na huu upumbavu wako hautakuisha karibuni kwa kuwa umejipanga kuwatetea watu kwa rangi zao na kuwapa utukufu wa bandia !sasa nenda kalime mashamba yao ya ngano huko north carolina ama kapalilie bangi wanazolima mexico kwa kuwa huko ndio size yako wewe mpumbavu wa siku,na ninyi jamii forum mkishindwa kuondoa upumbavu huu kwenye hii mitandao na ninyi ni mmoja wa hawa wapuuzi.Waafrika tunataka kuanzisha ugomvi wa mawe wakati tunaishi kwenye nyumba ya vioo.Wazungu wakitujibu na kusema ukweli tutakuwa wapole na kujiona sisi si kitu.
Kwa mfano,ukimuuliza Mugabe ndege iliyomfikisha Addis Ababa imetengenezwa na Waafrika au Wazungu atakuwa na jibu gani?
Tujiuluze tu hata lugha zetu za kiafrika sisi wenyewe tunazithamini?Mbona karibu kila mahali barani Afrika ni kingereza na kifaransa tu?Wakitubeza kwa kushindwa hata kuthamini lugha zetu tutawajibu nini?Hata hiyo speech Mugabe kaitoa kwa lugha gani?
Nchi ya kiafrika ikikumbwa na njaa,huwa hatusubiri wazungu watusaidie?
Janga la Ebola huko Afrika Magharibi ni kina nani walitoa fedha kusaidia kukabiliana na tatizo hilo?
Viongozi wa kiafrika wakiiba hela katika nchi zao huficha katika nchi nyingine za kiafrika au huficha katika nchi za Ulaya?Wazungu wakilisema hili na kutudharau watakuwa wametuonea?
Jamani,yako mengi sana ya aibu kuhusu sisi wa Afrika na ndio maana wanatudharau hivyo ni bora kwanza tukajirekebisha kabla ya kujitia kimbelembele.
Tulichofanikiwa Waafrika ni kutoa wacheza soka tu kwenda Ulaya ila mambo mengine yote yametushinda ikiwa ni pamoja na hata kujitawala wenyewe kwa wenyewe.Hata DEMOKRASIA TU IMETUSHINDA!
Ngozi nyeusi ni shida kwani hata hizi dini zetu bado zimetoka kwa hao wazungu na hata video za Yesu zinaonyesha Yesu si mtu mweusi.
Alafu hata wapigania uhuru wa nchi za kiafrika walisomea nchi gani na kwa msaada wa watu gani zaidi ya hao wazungu?
Mugabe na vingozi wengine wa Kiafrika mpaka leo hii wanatibiwa na kufia Afrika au Ulaya?
Waafrika tunatafuta usawa kwasababu za kibinadamu tu lakini sio kwasababu za kuwa na viwango(standards)-hivi ndivyo mimi ninavyoamini na nitaendelea kuamini hivyo mpaka siku naingia kaburini.
Tujisahihishe kwa mengi kabla ya kuanza kubwabwaja na kutafuta usawa.
NB:Nyie mnaonishambulia nijibuni swali hili dogo tu: Hivi siku yenu ya kuzaliwa au ya watoto wenu ikifika na mkakusanyika pale sebuleni, ule wimbo maarufu wa siku ya kuzaliwa (birthday),huwa ni wa lugha gani?Wa lugha yetu uko wapi?
Kukubali mapungufu na kujirekebisha kutakusaidi kulikoni kujifanya mbishi wakati unapotea.Hotuba ya Mugabe itachochea tu ubaguzi duniani.Wazungu wakimjibu unadhani ni nini kitatokea?Mpumbavu wewe unayewapa masifa wazungu waliokutawala.nakuita tena mpumbavu kwa kushabikia utumwa na ukibaraka,na huu upumbavu wako hautakuisha karibuni kwa kuwa umejipanga kuwatetea watu kwa rangi zao na kuwapa utukufu wa bandia !sasa nenda kalime mashamba yao ya ngano huko north carolina ama kapalilie bangi wanazolima mexico kwa kuwa huko ndio size yako wewe mpumbavu wa siku,na ninyi jamii forum mkishindwa kuondoa upumbavu huu kwenye hii mitandao na ninyi ni mmoja wa hawa wapuuzi.
Misukule kama wewe ni mzigo kwa taifaacha matusi wewe bila mzungu leo ungekuwa kwenu shitindi huko ,kuanzia asubuhi unapoamka mpaka unalala maisha yako asilimia 95 yanaendeshwa na mzungu .
Wewe ni msukule wa wazungu kumbeila Mugabe bwana eti white faces with pig's nose hapo kasahau kama anaongea lugha ya mwingereza,Mugabe hajielewi kabisa kwa hotuba kama ile
Salary,Kukubali mapungufu na kujirekebisha kutakusaidi kulikoni kujifanya mbishi wakati unapotea.Hotuba ya Mugabe itachochea tu ubaguzi duniani.Wazungu wakimjibu unadhani ni nini kitatokea?