Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
15,226
31,833
Wakati nchi za Afrika Mashariki zikiendelea kumpet pet Kagame, masaa machache yaliyopita Wizara ya Fedha ya Marekani imetangaza rasmi kuwawekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Afrika Mashariki wa Rwanda Generali James Kabarebe na Msemaji wa M23 Lawrence Kanyuka Kingston kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki mwa Kongo.


Wakati Viongozi wa Afrika Mashariki wakiendelea kumlea Kagame ambaye sasa anawachezea kama vitoy Wazungu wameamua kufanya kweli.

Itakumbukwa James Kabarebe amekuwa akitajwa sana kama mtu anayetumiwa sana na Kagame katika kupanga na kufanikisha mipango ya ku destabilise Congo.

Wasiomfahamu General James Kabarebe amewahi kuwa bodyguard wa Kagame kipindi vuguvugu lililosababisha cha mauaji wa kimbari nchini Rwanda mwaka 1994. Pia amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Congo baada ya kumsadia Mtutsi .wenzao Raurent Kabila kupindua Serikali ya Mobutu Seseko. Aidha amewahi kuwa Mkuu wa Majeshi wa Rwanda na Waziri kwenye Wizara mbalimbali ambapo kwa sasa anashika cheo cha Waziri wa Afrika Mashariki wa nchi hiyo.


Asante sana Trump. Usiache kumulika hawa Viongozi wa CCM wanaotaka kufanya Uchaguzi bila Reforms.
FB_IMG_1740080700202.jpg
 
Trump ni kichwa pumbu tu...
Hao ndio kina nani?
Sijawahi kuwasikia tokea vita imeanza, kwanini sio Kagame?
Kama hujui historia ya vita vya Mashariki mwa Kongo basi sishangai kusema humjui General James Kaberebe.

Kama hujui huyo ndo the main architect kwenye destabilazition of Eastern Congo.

Na huyo ndo main right hand man wa Kagame pale Rwanda na inasemwa hadi biashara zao zinaingiliana. Kumwekea vikwazo huyo ni a direct message kwa Kagame kuwa You are Next.
 
Kagame hawezi kuongoza nchi mbili, DRC na RWANDA, haya ni matusi
Viongozi wenu wa hapo Afrika si wanamlea. Nyie Tanzania ndo mlikuwa mnafahamika kwa kumshikisha adabu saivi mmeufyata. Anawakoromea na kuuwa wanajeshi wenu alafu mnamchekea chekea tu.

Acha wazungu wanaojua thamani ya uhai wa mwanadamu waingilie kati.
 
Africa bado mnaamini solutions za matatizo yenu zipo kwa Wazungu? Whites toka walipoanza kuja Africa hadi leo hawajawahi kuweka maslahi ya Africa mbele.

Tshikedi juzi wenzake wapo Addis Ababa, yeye kaenda German kulia lia. Wazungu ni wanafiki mno, washaona Congo inagawanyika sasa, wanajifanya kujitutumua kuonyesha wanamuhurumia Tshikedi.
 
Back
Top Bottom