Wanatumia vilevi gani kwa majina?Wakamatwe wote na wapelekwe kambi za mafunzo ya kizalendo.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Ukweli usemwe na uwekwe wazi
Wazazi wa bagamoyo malezi yamewashinda
Bas serikali jitaidini kuingilia kati hili suala
Vijana wanatekea wote ni mateja wote walevi
Inasikitisha sana
SAYUNI BOY
Keshokutwa inakuwa na miaka 48/miongo mitano "kasarobo"!CCM hao,wanazalisha mateja wenye degree
Nafikiri Ungemuuliza mkuu wa wilaya bwana WasiraUna data zozote ili hoja Yako iwe na mashiko?
Labda kama umekutana na watu wa Nne tu ambayo inaweza kuwa 0.00001% ya wakazi wote wa Bagamoyo
Mkuu ni changamoto sanaWanatumia vilevi gani kwa majina?Wakamatwe wote na wapelekwe kambi za mafunzo ya kizalendo.
cc;Mbunge wao alione hili andiko na atuongoze kusikitika na kutafuta suluhu asap!
Kwani hoja hapa imetolewa na nani? Je ni utaratibu wa wapewa taarifa kwenda kutafuta ukweli au ni wajibu wa mtoa taarifa kuhakiki kwanza kabla hajaiweka ?Nafikiri Ungemuuliza mkuu wa wilaya bwana Wasira
Mkuu mimi naishi huku najua acha kuteteaUna data zozote ili hoja Yako iwe na mashiko?
Labda kama umekutana na watu wa Nne tu ambayo inaweza kuwa 0.00001% ya wakazi wote wa Bagamoyo
Wanalewa hadi kahawa?Mkuu ni changamoto sana
Kijana mmoja anatumia vitu Saba vinavyoharibu akili yake
1, konyagi
2 ugoro
3, kisungura
4, makahaba
5,kahawa
6, balimi
7,unga
8,bangi
9
Sasa huyo si Moja tu, magnitude ni ndogo sanaMkuu ni changamoto sana
Kijana mmoja anatumia vitu Saba vinavyoharibu akili yake
1, konyagi
2 ugoro
3, kisungura
4, makahaba
5,kahawa
6, balimi
7,unga
8,bangi
9
Sasa huyo si Moja tu, magnitude ni ndogoMkuu ni changamoto sana
Kijana mmoja anatumia vitu Saba vinavyoharibu akili yake
1, konyagi
2 ugoro
3, kisungura
4, makahaba
5,kahawa
6, balimi
7,unga
8,bangi
9
Kuishi sio Tatizo lete data, bila hivyo unatumia hisia tuMkuu mimi naishi huku najua acha kutetea
Panatisha hadi huruma tena hawa wenzetu wa msikitin ndo kabisa usiseme
Hawa vijana wa ovyo Jana wameniibia baadhi ya vitu ndani Kwa kuruka ukuta.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Ukweli usemwe na uwekwe wazi
Wazazi wa bagamoyo malezi yamewashinda
Bas serikali jitaidini kuingilia kati hili suala
Vijana wanatekea wote ni mateja wote walevi
Inasikitisha sana
SAYUNI BOY
Ni wapuuz kabisaBinafsi mimi hapa advance nimesomea mlandizi pwani, kwa kweli vijana wa pale ni wavivu, malaya, hawataki shule wote wanataka wawe bodaboda,wanavuta bangi, walevi tena watumia vilevi vikali, vigodoro na kujifanya masela, me sikuwahi waelewa kabisa, kiufup hawana future yoyote wapo wapo tu kama majinga. kati ya mikoa ambayo itakuja kuwa na watu wazima wengi wa hovyo Tanzania huu miaka kama 15 ijayo basi wa kwanza ni pwani