Chadema chama cha matukio chali tena.
EWURA ni Chadema? Hicho ni chombo cha serikali. Heko Jenerali Ulimwengu kwa kusema kuwa Awamu hii ni awamu ya milipuko. Asubuhi tamko hili na jioni tamko lingine.Chadema chama cha matukio chali tena.
Sasa hapa huyo Chadema anaingiaje? Wakati mwingine kama huna cha kuandika si uChadema chama cha matukio chali tena.
Anaweza toka damu za masikioni,Hapo Muhongo kacheza kiume
EPISODE NYINGINE INAKUJA NGOJA NISOGEZE KITI NIANGALIEEWURA YAPIGWA STOP NA WAZIRI MUHONGO: Tumepokea taarifa za barua ya leo, 31 Dec 2016 kutoka kwa Prof Muhongo kwenda kwa DG EWURA ikisimamisha utumiaji wa bei mpya zilizotangazwa jana na EWURA. Prof Muhongo ametumia madaraka aliyopewa na yako ndani ya Electricity Act, 2008. Serikali haijapokea na kutathmini bei zilizopendekezwa na EWURA. Uchumi wa viwanda unahitaji umeme wa bei nafuu.
VIVA TANZANIA
Huyu ndio angetakiwa awe rais sio huyu ambaye hata lugha aliyotumia kudefend thesis yake ni mgogoro
Kwa hiyo hutaki?Mmh uhakika kweli mi siyo wazir lkn info tokea inaanza naipata mpaka wakatangaza officially kuwa itakuwa kesho umeme unapanda mda wote walikuwa wapi kweli namkumbuka masaburi maana wanafikiria kupitia yeye!
Huyu ndio angetakiwa awe rais sio huyu ambaye hata lugha aliyotumia kudefend thesis yake ni mgogoro