Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu atembelea wanajeshi wake huko Gaza

Echolima1

JF-Expert Member
Nov 2, 2019
1,914
1,965
Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu a.k.a. BIBI leo hii kaamua kuwa te Bełda wanajeshi wake walioko huko Gaza aliambatana na Waziri wa Ulinzi wa Israel na Mkuu wa Majeshi wa Israel na kuwatia moyo kwa kuwaambia kuwa wako huko kwa ajili ya kulinda Taifa lao na wako huko ili kuwaangamiza magaidi wa Hamas na kuwakomboa ndugu zao waliotekwa na magaidi wa Hamas hapo Oct 07,2023.
 

Attachments

  • IMG_2461.jpeg
    IMG_2461.jpeg
    167.9 KB · Views: 2
  • IMG_2465.jpeg
    IMG_2465.jpeg
    180 KB · Views: 1
  • IMG_2467.jpeg
    IMG_2467.jpeg
    173.1 KB · Views: 3
  • IMG_2466.jpeg
    IMG_2466.jpeg
    135.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom