Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,796
- 14,131
Upepo kuhusiana na Palestina unazidi kushika kasi dunia nzima. Leo Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammed Shtieh amewasilisha barua kwa Rais Mahmoud Abbas akiomba kujiuzulu.
Sababu alizozitaja kuhusu uamuzi wake huo ni yale anayoyashuhudia kwenye ukanda wa Gaza na maeneo yote ya ukingo wa Magharibi. Amesema mauwaji ya Israel kule Gaza ni mauwaji ya kimbari.
Amesema kuna haja ya kuwa na serikali makini ya kushughulikia matukio hayo makubwa katika uhai wa Palestina.
====
Palestinian Prime Minister Mohammad Shtayyeh has announced the resignation of his government, which rules parts of the occupied West Bank, due to the escalating violence in the occupied West Bank and the war on Gaza.
“The decision to resign came in light of the unprecedented escalation in the West Bank and Jerusalem and the war, genocide and starvation in the Gaza Strip,” Shtayyeh, who submitted his resignation to President Mahmoud Abbas on Monday, said.
“I see that the next stage and its challenges require new governmental and political arrangements that take into account the new reality in Gaza and the need for a Palestinian-Palestinian consensus based on Palestinian unity and the extension of unity of authority over the land of Palestine,” he said.
Shtayyeh’s comments come as US pressure grows on Abbas to shake up the Palestinian Authority and begin work on a political structure that can govern a Palestinian state following the war.
Al Jazeera