Waziri Mkuu Majaliwa: Viroba marufuku kuzalishwa wala kutumiwa kuanzia Machi 01, 2017

Subiri wahamie kwenye gongo kama zamani ndio utajua hadhi ya pombe za kwenye chupa...
Akikamatwa anayeuza gongo mwenyekiti wa mtaa na mtendaji kazi kwisha na kushitakiwa kwa uzembe kazini! Naamini sasa vijana watapata afya na watajiajiri au watalazimika kufanya kazi za kukoroga zege.
 
Akikamatwa anayeuza gongo mwenyekiti wa mtaa na mtendaji kazi kwisha na kushitakiwa kwa uzembe kazini! Naamini sasa vijana watapata afya na watajiajiri au watalazimika kufanya kazi za kukoroga zege.
Kukoroga zege kujenga nyumba za kina nani?
 
Je km nina viroba ambavyo nilivinunua kwa kuuza mwaka mzima itakuwaje,je kiwandani watanirudishia gharama zangu?
 
Wamekataza viroba na wametaka zitengenezww kwa ukubwa unaotakiwa inamaana viroba vtafutwa ila bapa litaendelea kama kawaeda. hapo naona wamemaanisha konyagi zisikae kwenye kiroba ila chupa...
 
Serikali imefanya kitu cha maana sana kusitisha pombe zote zilizo kwenye vifungashio vya nailoni hapa pia wanaokoa hasa watoto wa kusoma ,uchafuzi wa mazingira kwahiyo tunajua kuanzia kesho watumiaji watapata shida juu ukosekanaji wa viroba ila inabidi watii kama nikiu wanunue jibapa.
 
Back
Top Bottom