Umesema kweli kabisa! Ni mjinga sana!Watu wa Zanzibar hawana maji ya kunywa, huyo kiongozi aache ujinga!
Wewe hizo pesa ni za Samia au wananchi unarahisisha tu mambo kichawa chawa wakati wananchi ndio wanaumia kulipia makodi na matozo ya ovyo huyo bibi kizee mwisho wake uraisi 2025Uchumi unakua pesa zinaongezeka ,hakuna sababu ya kupunguza,
Kwani Samia baada ya kuingia aliounguza Bajeti wapi? Si aliongeza na hii ni baada ya kutafuta pesa.
Boya ni wewe,mambo gani hayo? Kwani daraja sio jambo la msingi?Jinga sana wewe kama ni uamuzi wa lijinga kama litajenhwa daraja Kuna mambo mengi ya kufanya sio hiyo takataka acha uchawa boya wewe
Daraja Halina faida? Nyumbu kama nyie hakuna mnachojua.Unajua sababu za Tanganyika kung'ang'ania Muungano?Daraja lina faida gani kwa tanganyika? Kwann msielekeze hizo pesa kwenye mambo ya msingi ktk kutatuq kero za wanainchi?
Mali ya Jamhuri ya MuunganoZanzibar kuna resource za kuingiza trilioni 2 kila mwaka kwa miaka kumi mfululizo..?
Ziwe za Wananchi au Za Samia ila Daraja lazima lijengweWewe hizo pesa ni za Samia au wananchi unarahisisha tu mambo kichawa chawa wakati wananchi ndio wanaumia kulipia makodi na matozo ya ovyo huyo bibi kizee mwisho wake uraisi 2025
Faida ni nyingi sana ,kwanza itarahisisha biashara baina ya Bara na Visiwani lakini kikubwa zaidi ni Utalii.Baada ya kujengwa hilo daraja tutapata faida gani?.hiyo mikopo itakayokopwa atalipa mtanganyika au mzanzibari?.yaani Tugharamie daraja la trioni na trioni Kwa ajili ya kufata tende na ulojo Kwa watu wasiozid milioni?Tuache masihara.Ni Bora tujenge sgr nyingine kwenda kusini au kaskazin kuliko huo usengerema
Hakuna dezo, this time.Daraja Halina faida? Nyumbu kama nyie hakuna mnachojua.Unajua sababu za Tanganyika kung'ang'ania Muungano?
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera,Uratibu,Baraza la Wawakilishi) Hamza Hassan amemuomba Rais Samia ajenge daraja kubwa la Kuunganisha Tanzania na Zanzibar.
View: https://www.instagram.com/reel/C6BwTtyPseE/?igsh=eXltejhqNXhuc2w=
My Take
Naunga mkono hoja,Pamoja na mazuri mengi sana ya Samia ila Daraja akijenga Daraja hili na Bandari ya Bagamoyo itakuwa ni alama kubwa ambayo ataiacha Kwa kipindi Cha Uongozi wake wa miaka 9.5.
Inawezekana Akiamua kama ambavyo Magufuli aliamua na Sasa Miradi yake Mingi Serikali iwahusishe Private sector kupata pesa.
View attachment 2970909View attachment 2970910
Labda litajengwa kupitia kuuza hayo makalio Yako Kwa mwarabu lakini sio Kodi za wananchi Mimi ndio nimeshasemaZiwe za Wananchi au Za Samia ila Daraja lazima lijengwe
Sikia wewe makalio daraja sio Jambo la msingi kalio wewe nimeshasema halijengwi daraja mpaka huyo bibi kizee anamalizia mwaka wake wa mwisho 2025Boya ni wewe,mambo gani hayo? Kwani daraja sio jambo la msingi?
Kama mnavyoonekanaYa CCM?
Hivi unatuonaje?
kuna mradi wowote tz umefikisha s20bili au tunaongea kujichekesha mr siungi mkono kwasababu Zanzibar yenyewe mapato yao hayafanani na bridge.Miradi mingine gharama amelipa nani?
DP World unakumbuka?Sikia wewe makalio daraja sio Jambo la msingi kalio wewe nimeshasema halijengwi daraja mpaka huyo bibi kizee anamalizia mwaka wake wa mwisho 2025