DOKEZO Waziri Gwajima chukua hatua kwa ukatili huu aliofanywa mtoto shule ya Msingi Kitefu, Halmashauri ya Meru

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakika ingekuwa vema sana maana majukumu ya huduma kwa jamii yamegatuliwa kutoka Serikali kuu yakapelekwa waliko wananchi yaani serikali za mitaa yao na vijiji vyao, wakapewa na halmashauri yao na baraza lao madiwani bado na mkuu wa wilaya na vyombo vyote.

Bado ofisi ya mkuu wa mkoa ipo na kuna wizara ya Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa pia.

Sasa huwa ni mtihani mwananchi anatoka huko moja kwa moja wizarani, sijafahamu changamoto ni elimu kuhusu kujua hii mifumo na nguvu zake na wajibu wake au kuna changamoto Gani?

Anyway, pamoja na hayo, mimi kama mtumishi pia, nikiona mtu kaja kwangu nampokea tu namuongoza kwenye utaratibu, mengine hayo baadae. Haya tuendelee kushirikiana.

Hili jambo tayari nimewasilisha ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha tuone wapi tutafika nalo.

Mbarikiwe wote wanaopongeza na kulaumu pia, wote pokeeni baraka za Mungu wa mbinguni 🙏🏽
Mheshimiwa, kwanza hongera yako kuwa muungwana na kusaidia kufikisha hili jambo sehemu husika.

Nafikili kuna tatizo kwa ngazi za chini. Inaelekea mpaka huyu anawalipotia mtandaoni,ni baada ya kutoona hatua yoyote ikichukuliwa kwa mharifu. Mara nyingi,mtu anatakiwa aende na ushahidi. Polisi au viongozi wengine,kwenye mambo kama haya, huanza kudai mfuta.
Mheshimiwa,hili lenyewe linkatisha tamaa. Kwa hiyo,kuna wakati mtoa mada anaonona tu alichie hivo hivo.
Pia,wapo ambao hawataki ijulikane ndo wametoa taarifa,sababu labda ni majirani au watu wa karibu.

Na uichoke kupokea na kuetea wanyonge na wasio na nguvu,kwanza kukufikilia kwamba unaweza walau ukatoa neno,ni heshima kubwa. Tunajua majukumu ni mengi.
Labda kwa cheo ulichonacho,n wahusika,mungeweka namba ya kutolea taarifa za aina hiyo, ipokee,iombe taarifa zate za mhimu,owasiline na wahusika wa eneo la tukio,lishughulikiwe.
Binafsi naipenda JF,kuna mambo mtaani yanakera,ila,hakuna jambo linaloshindikana likishakuwa humu na kuonekana lina uzito.
 
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Nenda katoe taarifa polisi.
 
Mheshimiwa, kwanza hongera yako kuwa muungwana na kusaidia kufikisha hili jambo sehemu husika.

Nafikili kuna tatizo kwa ngazi za chini. Inaelekea mpaka huyu anawalipotia mtandaoni,ni baada ya kutoona hatua yoyote ikichukuliwa kwa mharifu. Mara nyingi,mtu anatakiwa aende na ushahidi. Polisi au viongozi wengine,kwenye mambo kama haya, huanza kudai mfuta.
Mheshimiwa,hili lenyewe linkatisha tamaa. Kwa hiyo,kuna wakati mtoa mada anaonona tu alichie hivo hivo.
Pia,wapo ambao hawataki ijulikane ndo wametoa taarifa,sababu labda ni majirani au watu wa karibu.

Na uichoke kupokea na kuetea wanyonge na wasio na nguvu,kwanza kukufikilia kwamba unaweza walau ukatoa neno,ni heshima kubwa. Tunajua majukumu ni mengi.
Labda kwa cheo ulichonacho,n wahusika,mungeweka namba ya kutolea taarifa za aina hiyo, ipokee,iombe taarifa zate za mhimu,owasiline na wahusika wa eneo la tukio,lishughulikiwe.
Binafsi naipenda JF,kuna mambo mtaani yanakera,ila,hakuna jambo linaloshindikana likishakuwa humu na kuonekana lina uzito.

Mheshimiwa, kwanza hongera yako kuwa muungwana na kusaidia kufikisha hili jambo sehemu husika.

Nafikili kuna tatizo kwa ngazi za chini. Inaelekea mpaka huyu anawalipotia mtandaoni,ni baada ya kutoona hatua yoyote ikichukuliwa kwa mharifu. Mara nyingi,mtu anatakiwa aende na ushahidi. Polisi au viongozi wengine,kwenye mambo kama haya, huanza kudai mfuta.
Mheshimiwa,hili lenyewe linkatisha tamaa. Kwa hiyo,kuna wakati mtoa mada anaonona tu alichie hivo hivo.
Pia,wapo ambao hawataki ijulikane ndo wametoa taarifa,sababu labda ni majirani au watu wa karibu.

Na uichoke kupokea na kuetea wanyonge na wasio na nguvu,kwanza kukufikilia kwamba unaweza walau ukatoa neno,ni heshima kubwa. Tunajua majukumu ni mengi.
Labda kwa cheo ulichonacho,n wahusika,mungeweka namba ya kutolea taarifa za aina hiyo, ipokee,iombe taarifa zate za mhimu,owasiline na wahusika wa eneo la tukio,lishughulikiwe.
Binafsi naipenda JF,kuna mambo mtaani yanakera,ila,hakuna jambo linaloshindikana likishakuwa humu na kuonekana lina uzito.

Mheshimiwa, kwanza hongera yako kuwa muungwana na kusaidia kufikisha hili jambo sehemu husika.

Nafikili kuna tatizo kwa ngazi za chini. Inaelekea mpaka huyu anawalipotia mtandaoni,ni baada ya kutoona hatua yoyote ikichukuliwa kwa mharifu. Mara nyingi,mtu anatakiwa aende na ushahidi. Polisi au viongozi wengine,kwenye mambo kama haya, huanza kudai mfuta.
Mheshimiwa,hili lenyewe linkatisha tamaa. Kwa hiyo,kuna wakati mtoa mada anaonona tu alichie hivo hivo.
Pia,wapo ambao hawataki ijulikane ndo wametoa taarifa,sababu labda ni majirani au watu wa karibu.

Na uichoke kupokea na kuetea wanyonge na wasio na nguvu,kwanza kukufikilia kwamba unaweza walau ukatoa neno,ni heshima kubwa. Tunajua majukumu ni mengi.
Labda kwa cheo ulichonacho,n wahusika,mungeweka namba ya kutolea taarifa za aina hiyo, ipokee,iombe taarifa zate za mhimu,owasiline na wahusika wa eneo la tukio,lishughulikiwe.
Binafsi naipenda JF,kuna mambo mtaani yanakera,ila,hakuna jambo linaloshindikana likishakuwa humu na kuonekana lina uzito.
Ahsante Sana kwa maoni yako. Wizara tayari ina kituo hiki hapa cha mawasiliano na jamii. Tunatangaza sanaz tusaidiane tu. Tena hizi namba ukipiga wasipopokea, andika ujumbe tuma ubaki na ushahidi. Ukiona sasa ngazi zote hawasikilizi, niandikie waziri ujumbe nitumiwe kwenye namba yangu ya kwanza ni 0765345777 na ya pili nakala ni 0734124191.

Bado Iko namba 116 saa 24 taarifa za watoto tu. Bado namba ya IGP ni 0699998899.

Pamoja na yote haya, bado unakuta wenye nazo hawawapi wasio nazo, hivyo wachache wananufaika, na wengine wao ni kulaumu tu. Ukimuuliza je umepita serikali yako ya mtaa na ngazi zote hizo za halmashauri na wilaya na mkoa kote hawajakupa ushirikiano, wengi jibu ni kimya au hapana nilikuwa sijui.

Ukweli tuvumiliane tu na tusaidiane maana ukiangalia kwa ndani, wa kulaumiwa ni sisi sote, maana mifumo ipo na ukiuliza iwapo ulienda hukupewa huduma Ili tuchukue hatua, jibu ni kimya au hapana.....

Tuna shida gani kwani sisi jamii, eti? Naomba kamjadala kadogo dogo tusaidiane tafadhali 🙏🏽
 

Attachments

  • IMG-20240815-WA0023.jpg
    IMG-20240815-WA0023.jpg
    125.8 KB · Views: 1
Ahsante Sana kwa maoni yako. Wizara tayari ina kituo hiki hapa cha mawasiliano na jamii. Tunatangaza sanaz tusaidiane tu. Tena hizi namba ukipiga wasipopokea, andika ujumbe tuma ubaki na ushahidi. Ukiona sasa ngazi zote hawasikilizi, niandikie waziri ujumbe nitumiwe kwenye namba yangu ya kwanza ni 0765345777 na ya pili nakala ni 0734124191.

Bado Iko namba 116 saa 24 taarifa za watoto tu. Bado namba ya IGP ni 0699998899.

Pamoja na yote haya, bado unakuta wenye nazo hawawapi wasio nazo, hivyo wachache wananufaika, na wengine wao ni kulaumu tu. Ukimuuliza je umepita serikali yako ya mtaa na ngazi zote hizo za halmashauri na wilaya na mkoa kote hawajakupa ushirikiano, wengi jibu ni kimya au hapana nilikuwa sijui.

Ukweli tuvumiliane tu na tusaidiane maana ukiangalia kwa ndani, wa kulaumiwa ni sisi sote, maana mifumo ipo na ukiuliza iwapo ulienda hukupewa huduma Ili tuchukue hatua, jibu ni kimya au hapana.....

Tuna shida gani kwani sisi jamii, eti? Naomba kamjadala kadogo dogo tusaidiane tafadhali 🙏🏽
Hakika,katika jambo kama hili(hii comment),mheshimiwa waziri, kupata namba za wahusika ni jambo jema.

Tatizo la jamii kwa ujumla, ni: "Nahusika vipi". Unakuta jambo mpaka linafika linakotakiwa kufika, mda umeishaisha,evidences hazipo tena. Huu ni upande wa raia. Kwa upande wa vyombo vya dola,kuna kutojali au kuhitaji chochote ili wafanye kazi zao. Unakuta ofisi,ngazi za juu,wanatamani waone kazi zikifanyika,raia wakipata haki zao. Lakini linapokuja huku chini,watu wapo bize na mambo yao,kuliko kazi walizoomba.
Mtuhumiwa akikamatwa,chenji ndo zinaanza kutembea,undugu ndo unahusika. Mwenye kutendewa kosa,awe ni mtoto au mtu mzima,watu wake wa karibu hujiona kama hawana maana,na kuamua kukaa kimya. Mpaka hapo atakapopatikana msamalia mwema.

Mheshimiwa waziri,ukweli ubaki pale pale. Dunia ya leo,kila mtu analenga faida. Na mpaka mtu anaamua kuleta jambo kama hili,pengine ni baada ya yeye pia kupata taarifa.
Mheshima waziri, kama mama wa familia,unaetambua haki zako za msingi. Jiulize mama anaetishiwa kufukuzwa,kwake; kwa mazingira anayoishi,na mira alizokulia,anaona bora auguze vidonda(mfano),kwa mtoto kuliko kuachana na mme. Ila hapa,jiulize huyo mama saikolojikali,anapitia mangapi? Ananyanyaswa kiasi gani! Ndo maana watu wengine unawaona wapowapo tu,na maovu wameshazoea kuyachukulia kama mema.
Kuelimisha sasa, ni zoezi endelevu. Kama kuna vipindi redioni na kwenye TV, pia kama huku mitandaoni,jitahidini viwepo. Watu waulize maswali, wajibiwe. Mheshimiwa,ifike mahali pia mfano mtu mwenye ulemavu aliosababishiwa na mtu furani,na bado yupo hai,apewe haki yake bila kujali ni miaka kadhaa imepita. Nadhani kama mama ulieelimika,unaweza ukawa unaelewa hai gani mtu anayenyanyaswa kijinsia anapitia.
Mfano wa karibu,mtu niliesikia kabakwa na kulawitiwa na wanaume 5.
-Tukio lenyewe,jiulizeni limemuathiri kiasi gani.
-(Nimesikia tu),kaomba maji,hakupewa. Binadamu atamchukuliaje pale anapoanza kumfikilia mwanaume kuwa ni katili. Kwa hatua hii,hachagui,anajumlisha. Si mtu mzima,si mtoto,wote sawa tu,as long as ni jinsia ya me.
-Haikuishia hapo,tena anarushwa mitandaoni. Wazazi wake,ndugu zake,wanae kama wapo au atakaowazaa,huyu ataishije?! Na je,yeye ndo wa kwanza kutenda kosa?
Haya, waliofanya hivyo, aliyeagiza afanyiwe hivo,wana akili gani? Sasa,nchi nzima kama ina milioni 30 zenye mawazo hasi kama haya,huku nyuma kuna nini mheshimiwa? Na kumbuka, yanayokufikia wewe, ni machache kuliko yanayotendeka.

Hivyo,
* kuna haja ya vyombo vya dola kukumbushwa wajibu wao. Walitakiwa wawe wanajua. Kwa sababu,hawa viongozi tunaokaa nao vijijini kwetu,hekima na busara hawana. Sasa utafika kituoni kuomba msaada,ripoti ya kijiji huna,watakuona mbabaishaji. Na ripoti ya kijijini utaipataje kama hujajiongeza? Utajiongezaje,ikiwa pesa huna, kama ni mama, sura hailipi au hujamfikilia mhusika(anaetakiwa kukusaidia)?

* japo ni mfumo mzima wa kiserikali sidhani kama kwa wizara moja moja linawezekana, ingependeza ukiwepo mfumo, wakawepo watu katika eneo furani,kama ni kata,au wajumbe wa ukubwa furani. Wawe na wakubwa wanaoripotia,kila siku. Tukio lipo,halipo,watoe lipoti kwa ngazi ya juu. Hata hao kina OCS na OCD,hivo hivo. Wizara husika,pia zihusike. Hapa,ndo mtapata zile takwimu,mjue matukio yanaongezeka au yanapungua. Je,kama yanaongezeka,tunafanyeje? Kama yanapungua,tujikite wapi kuzidi kupunguza.

*Japo ya kuongea ni mengi,lakini usawa wa haki za binadamu uhusike. Lakini,haki itakuwa haki kweli,endapo watendaji watakuwa na busara na hekima. Watu wanapitia mengi mheshimiwa. Inasikitisha sana,kuona watu waliotakiwa kukutendea haki no kukupa msaada,wanakuwa wa kwanza kukunyonya. Taasisi husika zichaguwe watu wenye kujitambua,na wenye sifa za kuihudumia jamii. Kitoto cha miaka 24,kitamshauri nini mama au baba aliyepo kwenye ndoa miaka 20 na zaidi? Mtu ndo huyo kafoji vyeti,kabahatisha kazi,hajawahi kuwa na milioni kwenye account,atashindwaje kukuchaji laki 5 kukupa haki yako? Kama huna?

Naomba niwasilishe,nimeongea mengi,na mengine bado yapo,lakini nchi ikiwa si ya haki,tutajikuta mwisho wa siku ni kama tunaishi polini.
 
Hujambo?.

Pamoja na kuchelewa kuona hili dokezo, nimepokea, ngoja niwasiliane na mkuu wa mkoa husika tuone wameshughulikiaje jambo hili tafadhali.

Shukrani, nakutakia asubuhi njema na baraka. Iwapo ina ziada, tafadhali sms 0765345777, namba yangu mwenyewe hiyo.
Ubarikiwe mama, kwanza umeshakua hatua mapema. Iekeweke hatuna chuki na mtu, taarifa tunazotoa ni za ukweli 100%.
 
Hakika,katika jambo kama hili(hii comment),mheshimiwa waziri, kupata namba za wahusika ni jambo jema.

Tatizo la jamii kwa ujumla, ni: "Nahusika vipi". Unakuta jambo mpaka linafika linakotakiwa kufika, mda umeishaisha,evidences hazipo tena. Huu ni upande wa raia. Kwa upande wa vyombo vya dola,kuna kutojali au kuhitaji chochote ili wafanye kazi zao. Unakuta ofisi,ngazi za juu,wanatamani waone kazi zikifanyika,raia wakipata haki zao. Lakini linapokuja huku chini,watu wapo bize na mambo yao,kuliko kazi walizoomba.
Mtuhumiwa akikamatwa,chenji ndo zinaanza kutembea,undugu ndo unahusika. Mwenye kutendewa kosa,awe ni mtoto au mtu mzima,watu wake wa karibu hujiona kama hawana maana,na kuamua kukaa kimya. Mpaka hapo atakapopatikana msamalia mwema.

Mheshimiwa waziri,ukweli ubaki pale pale. Dunia ya leo,kila mtu analenga faida. Na mpaka mtu anaamua kuleta jambo kama hili,pengine ni baada ya yeye pia kupata taarifa.
Mheshima waziri, kama mama wa familia,unaetambua haki zako za msingi. Jiulize mama anaetishiwa kufukuzwa,kwake; kwa mazingira anayoishi,na mira alizokulia,anaona bora auguze vidonda(mfano),kwa mtoto kuliko kuachana na mme. Ila hapa,jiulize huyo mama saikolojikali,anapitia mangapi? Ananyanyaswa kiasi gani! Ndo maana watu wengine unawaona wapowapo tu,na maovu wameshazoea kuyachukulia kama mema.
Kuelimisha sasa, ni zoezi endelevu. Kama kuna vipindi redioni na kwenye TV, pia kama huku mitandaoni,jitahidini viwepo. Watu waulize maswali, wajibiwe. Mheshimiwa,ifike mahali pia mfano mtu mwenye ulemavu aliosababishiwa na mtu furani,na bado yupo hai,apewe haki yake bila kujali ni miaka kadhaa imepita. Nadhani kama mama ulieelimika,unaweza ukawa unaelewa hai gani mtu anayenyanyaswa kijinsia anapitia.
Mfano wa karibu,mtu niliesikia kabakwa na kulawitiwa na wanaume 5.
-Tukio lenyewe,jiulizeni limemuathiri kiasi gani.
-(Nimesikia tu),kaomba maji,hakupewa. Binadamu atamchukuliaje pale anapoanza kumfikilia mwanaume kuwa ni katili. Kwa hatua hii,hachagui,anajumlisha. Si mtu mzima,si mtoto,wote sawa tu,as long as ni jinsia ya me.
-Haikuishia hapo,tena anarushwa mitandaoni. Wazazi wake,ndugu zake,wanae kama wapo au atakaowazaa,huyu ataishije?! Na je,yeye ndo wa kwanza kutenda kosa?
Haya, waliofanya hivyo, aliyeagiza afanyiwe hivo,wana akili gani? Sasa,nchi nzima kama ina milioni 30 zenye mawazo hasi kama haya,huku nyuma kuna nini mheshimiwa? Na kumbuka, yanayokufikia wewe, ni machache kuliko yanayotendeka.

Hivyo,
* kuna haja ya vyombo vya dola kukumbushwa wajibu wao. Walitakiwa wawe wanajua. Kwa sababu,hawa viongozi tunaokaa nao vijijini kwetu,hekima na busara hawana. Sasa utafika kituoni kuomba msaada,ripoti ya kijiji huna,watakuona mbabaishaji. Na ripoti ya kijijini utaipataje kama hujajiongeza? Utajiongezaje,ikiwa pesa huna, kama ni mama, sura hailipi au hujamfikilia mhusika(anaetakiwa kukusaidia)?

* japo ni mfumo mzima wa kiserikali sidhani kama kwa wizara moja moja linawezekana, ingependeza ukiwepo mfumo, wakawepo watu katika eneo furani,kama ni kata,au wajumbe wa ukubwa furani. Wawe na wakubwa wanaoripotia,kila siku. Tukio lipo,halipo,watoe lipoti kwa ngazi ya juu. Hata hao kina OCS na OCD,hivo hivo. Wizara husika,pia zihusike. Hapa,ndo mtapata zile takwimu,mjue matukio yanaongezeka au yanapungua. Je,kama yanaongezeka,tunafanyeje? Kama yanapungua,tujikite wapi kuzidi kupunguza.

*Japo ya kuongea ni mengi,lakini usawa wa haki za binadamu uhusike. Lakini,haki itakuwa haki kweli,endapo watendaji watakuwa na busara na hekima. Watu wanapitia mengi mheshimiwa. Inasikitisha sana,kuona watu waliotakiwa kukutendea haki no kukupa msaada,wanakuwa wa kwanza kukunyonya. Taasisi husika zichaguwe watu wenye kujitambua,na wenye sifa za kuihudumia jamii. Kitoto cha miaka 24,kitamshauri nini mama au baba aliyepo kwenye ndoa miaka 20 na zaidi? Mtu ndo huyo kafoji vyeti,kabahatisha kazi,hajawahi kuwa na milioni kwenye account,atashindwaje kukuchaji laki 5 kukupa haki yako? Kama huna?

Naomba niwasilishe,nimeongea mengi,na mengine bado yapo,lakini nchi ikiwa si ya haki,tutajikuta mwisho wa siku ni kama tunaishi polini.
Ahsante Sana kwa mchango wako huu. Na mimi nasisitiza tu kuwa, kwetu ni tija Sana kupata taarifa za watu wasiotimiza wajibu wao huko walikopewa fursa ya kutimiza. Na hili linawezekana tu kwa wanajamii kwenda kwenye sehemu hizo kupata huduma huku wakiwa na vielelezo vyote vya hoja zao halafu, wasipopewa wakaanza mfano kuzungushwa na kudaiwa mambo nje ya utaratibu; hapo nao wanasimama kifua mbele kuwa; kwa jinsi unavyonifanyia, sasa na mimi napeleka taarifa huko kwa viongozi wa juu maana kama ni Wizara ninayo kiganjani kwangu kidigitali. Kisha, wala asipige, anatuma ujumbe kabisa. Halafu moto kolea tutaanzia hapo hapo sasa.

Ila na wanaofanya vizuri, msisahau kutoa taarifa za pongezi Ili nao waendelee kuhamasika.

Haya hebu jaribu lete tukio moja au mawili na vielelezo kuhusu kutopata haki ya huduma uone sasa.

Namba hizo hapo juu na mimi nipe kwenye yangu ujumbe kwenda 0765345777 na 0734124191, jaribu uone matokeo sasa hivi tafadhali. Shukrani
 
Back
Top Bottom