naomba mawasiliamo YakoShule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.
Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.
Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.
Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.
Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.
Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Uandishi wako unalenga nini maana hauna consistence, wewe kama ni Mwl jipange weka insha yako vizuri ielewekeShule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.
Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.
Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.
Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.
Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.
Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
SahihiUsimwamini sn Gwajima ni msanii
Sasa Mwalimu Mkuu anahusikaje?Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.
Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.
Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.
Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.
Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuhemu ya ukatili.
Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Yeye anaamini polisi zaidiSahihi
Duh! 😀😀😀n
naomba mawasiliamo Yako
Hujambo? Tusifanye kazi kwa mihemuko tukaacha sheria halafu baadae tunaanza kupeana lawama kwa jina la walikurupuka.Gwajima polisi wanabaka amekaa kimya,polisi wenyewe wanabaka hiyo kesi Haina maana
Hujambo?.Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.
Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.
Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.
Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.
Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.
Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Kwani huko hakuna maafisa ustawi, elimu, usalama, na walinzi wa jamii?Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.
Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.
Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.
Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.
Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.
Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Tuendelee kushirikiana daima, mafanikio yetu yapo kwenye ushirikiano wetu na jamiiIimeisha hiyo,waziri yuko active sana
Hakika ingekuwa vema sana maana majukumu ya serikali ikiwemo ya huduma kwa jamii yamegatuliwa kutoka Serikali kuu yakapelekwa waliko wananchi yaani serikali za mitaa yao na vijiji vyao, wakapewa na halmashauri yao na baraza lao madiwani bado na mkuu wa wilaya na vyombo vyote.hizi taarifa ungezipeleka polisi,uingozi wa mtaa kuna kitu wangefanya.