DOKEZO Waziri Gwajima chukua hatua kwa ukatili huu aliofanywa mtoto shule ya Msingi Kitefu, Halmashauri ya Meru

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Doslamari

JF-Expert Member
Jun 21, 2024
893
1,104
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
 
Ila ifikie wakati turekebishe mfumo mzima wa serikali, kuna jambo haliko sawa kabisa na viongozi wanalipuuzia lakini madhara yake ni makubwa sana sana we fikiria issue ya kumalizwa na polisi kata au sijui madawati ya jinsia watu wanamfahamisha waziri , Waziri kweli anafanya kazi yake haswa lakini atafanya mangapi?

Ikiwa wawakilishi wake ndio hawa hawaaminiki tena mtaani mpaka watu wamtafute waziri inauma sana sana hamjui tu

Kuna pahali pameoza kabisa.
 
n
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
naomba mawasiliamo Yako
 
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.


Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Uandishi wako unalenga nini maana hauna consistence, wewe kama ni Mwl jipange weka insha yako vizuri ieleweke
 
Gwajima polisi wanabaka amekaa kimya,polisi wenyewe wanabaka hiyo kesi Haina maana
 
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuhemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Sasa Mwalimu Mkuu anahusikaje?

Yaani kesi za Majumbani Mwalimu Mkuu anahusikaje?

Hiyo ni kesi ya nyumbani na wanaopaswa kushughulikia ni viongozi wa Kijiji ,mtaa na polis

TUKIO lingetokea shuleni hapo Mwalimu Mkuu angehusishwa
 
Afuu kama anachuki binafsi na mwalimu mkuu,au anamuonea wivu kwa vitrip vyake...wewe umechukua atua ya kuja kusema huku,nenda polisi kuna dawati la jinsia katoe maelezo haya uliandika.uone kama.hatua hazija chukuliwa
 
Gwajima polisi wanabaka amekaa kimya,polisi wenyewe wanabaka hiyo kesi Haina maana
Hujambo? Tusifanye kazi kwa mihemuko tukaacha sheria halafu baadae tunaanza kupeana lawama kwa jina la walikurupuka.

Mimi ni muumini wa utaratibu wa kisheria na utaratibu wa majukumu.

Jambo likisharipotiwa kwenye vyombo vya sheria, linafuata utaratibu wa kisheria na siyo utaratibu wa mtu binafsi tafadhali.

Nimeona tu nikupe taarifa na elimu hii kwa muhtasari ndugu yangu. Nakutakia asubuhi njema 🤝
 
Lile la yule dada wa dodoma limeishia wapibwadau au ndo sheria zetu zinaaangalia kafanya na nani na ana wadhifa gani
 
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Hujambo?.

Pamoja na kuchelewa kuona hili dokezo, nimepokea, ngoja niwasiliane na mkuu wa mkoa husika tuone wameshughulikiaje jambo hili tafadhali.

Shukrani, nakutakia asubuhi njema na baraka. Iwapo ina ziada, tafadhali sms 0765345777, namba yangu mwenyewe hiyo.
 
Shule ya msingi Kitefu iko Halmashauri ya Wilaya Meru mkoa wa Arusha. Kuna mtoto amefanyiwa ukatili na anadaiwa ni baba yake kwa kumchoma na nyaya za umeme, huyu bwana alikuwepo leo shuleni baada ya kuitwa na Mwalimu Mkuu Mdee.

Kinachokatisha tamaa ni kwamba badala ya huyu bwana kujutia kitendo alichofanya alikuwa akiongea kwa kiburi na dharau kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwani hata Polisi wa kituo cha Kikatili hawana uwezo.

Mama wa mtoto ametishwa kuwa akisema ukweli atafukuzwa nyumbani, na siyo mara ya kwanza huyo mtoto kufanyiwa ukatili. Mwalimu mkuu yuko bize na safari za pesa, wiki yote iliyopita alikuwa Dodoma, wiki ijayo atakuwa Morogoro.

Kwa uelewa wangu mhusika na mke wake wangekuwa Polisi sahizi. Cha kusikitisha mwalimu mkuu aliwaambia sihusiki mtajua wenyewe.

Waziri Dkt. Gwajima D hawa ndio watumishi wa Umma, naomba msaidie huyu mtoto, wakamatwe kuanzia baba wa mtoto, mama na mwalimu mkuu kuwa sehemu ya ukatili.

Wahenga wametuambia ukiona tembo amekanyagia mkia wa panya na usipopiga kelele kumsaidia yule panya mkia wake kuachiwa umeshiriki kumkatili yule panya, ndicho alichofanya mwalimu mkuu.
Kwani huko hakuna maafisa ustawi, elimu, usalama, na walinzi wa jamii?
 
hizi taarifa ungezipeleka polisi,uingozi wa mtaa kuna kitu wangefanya.
Hakika ingekuwa vema sana maana majukumu ya serikali ikiwemo ya huduma kwa jamii yamegatuliwa kutoka Serikali kuu yakapelekwa waliko wananchi yaani serikali za mitaa yao na vijiji vyao, wakapewa na halmashauri yao na baraza lao madiwani bado na mkuu wa wilaya na vyombo vyote.

Bado ofisi ya mkuu wa mkoa ipo na kuna wizara ya Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa pia.

Sasa huwa ni mtihani mwananchi anatoka huko moja kwa moja wizarani, sijafahamu changamoto ni elimu kuhusu kujua hii mifumo na nguvu zake na wajibu wake au kuna changamoto Gani?

Anyway, pamoja na hayo, mimi kama mtumishi pia, nikiona mtu kaja kwangu nampokea tu namuongoza kwenye utaratibu, mengine hayo baadae. Haya tuendelee kushirikiana.

Hili jambo tayari nimewasilisha ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha tuone wapi tutafika nalo.

Mbarikiwe wote wanaopongeza na kulaumu pia, wote pokeeni baraka za Mungu wa mbinguni 🙏🏽
 
Back
Top Bottom