Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,325
- 6,367
Ivi ulimsikiliza wakati anajibu hoja za mpina?.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Alisemaje ndugu, tusaidieIvi ulimsikiliza wakati anajibu hoja za mpina?.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Chadema watashinda Kwa zaidi ya 60%Sawa. Lakini kiuhalisia kwa mwaka 2025 uwezekano wa upinzani kushinda ni kiasi gani?
Baba yako ndio atafaaaHaifai na kwa ujumla ccm haitakiwi Tena nchi hii.
Na mzee Mbowe atakuwa Rais,Lema waziri mkuu,na Mrema waziri wa UlinziChadema watashinda Kwa zaidi ya 60%
1:Mzee Mbowe RaisChadema watashinda Kwa zaidi ya 60%
unaota kaka amka usingizini1:Mzee Mbowe Rais
2: Lema -Waziri wa mambo ya ndani
3: Tundu Lissu -Waziri wa sheria
4:John Mrema-Waziri Mkuu
5:Sugu-Waziri wa Michezo
6: Heche -Waziri wa Afya
7:Wenje-Waziri wa Maji
8: Mukya - Tamisemi
9:Mnyika - fedha
10: Kileo : Bunge sera na uratibu
11: Malisa : Sayansi na Technolojia
Kama kuna eliesahaulika nishtueni🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Nitafutie viongozi wa hii Saccos zaidi ya hao hapounaota kaka amka usingizini
Ndugu, naona umeamua kutuchangamsha kidogo.1:Mzee Mbowe Rais
2: Lema -Waziri wa mambo ya ndani
3: Tundu Lissu -Waziri wa sheria
4:John Mrema-Waziri Mkuu
5:Sugu-Waziri wa Michezo
6: Heche -Waziri wa Afya
7:Wenje-Waziri wa Maji
8: Mukya - Tamisemi
9:Mnyika - fedha
10: Kileo : Bunge sera na uratibu
11: Malisa : Sayansi na Technolojia
Kama kuna eliesahaulika nishtueni🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kwa uchaguzi gani wa wapinzani kushinda? Tanzania hakuna uchaguzi Bali maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Sawa. Lakini kiuhalisia kwa mwaka 2025 uwezekano wa upinzani kushinda ni kiasi gani?