Waziri Dkt. Ndumbaro Ataja Sababu Kifo cha Muziki wa Dansi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
2,802
1,293

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amesema Wizara yake iko kwenye mkakati wa kurejesha katika hadhi muziki wa Dansi kwa kuwa muziki huo umewahi kutumika hata kwenye ukombozi.

Amesema muziki wa Dansi umeshuka kutokana na masoko, ambapo amesisitiza kufufuliwa kwa muziki huo akitaka vikundi vya dansi vikopeshwe kupitia mfuko wa Utamaduni.
 
Back
Top Bottom