Wazee wa democracy na wanazi wa USA tuambieni hapa haki ipo wapi?

Sasa palestina hata hawana mipaka mnalazimisha iwe taifa kwenye ardhi ya wayahudi huku mkitumia vifo vya wanawake na watoto kutafuta huruma ya dunia
Mipaka ya 1947 alichora nani!?
Palestina ina mipaka yake na mipaka inayotambulika ni ya 1947 na hiyo ndio inayotakiwa kurudishwa.
Usijitoe ufahamu hapa.
Ardhi waliodai yao wayahudi Jerusalem walishapatiwa toka 1947 na mipaka ikachorwa.
 
Mkuu Marekani kila sekunde mchana na gizani anapanbana abaki kama alivyo
Hata Roman Empire,Byzantine,Ottoman Empire n.k n.k zilikua zikipambana usiku na mchana zisianguke na zikaanguka.
USA ishaonesha udhaifu katika nyanja kibao kiasi cha kupingwa na raia wake wenyewe,kiuhalisia USA ishaanguka ila kipropaganda inaonekana bado iko juu.
Taifa gani sasa hivi inaliogopa USA kama zamani!?
Jibu hakuna,watu sasa hivi wanajaribu kutafuta uhusiano na mataifa mengine makubwa nje na USA,na siku hizi USA inapingwa wazi wazi,utasemaje bado iko na supremacy!?
 
Mipaka inatambulika na Ramani inayotakiwa kutumika ni ya 1947 labda kama wewe hujui hilo.
Hiyo mipaka haitambuliki tena, Kuna taifa la Israel, hawa Wapalestina wakae watafute bicon zao kwanza. Sasa Tangu 1947 walikuwa wapi? Waambieni watafute bicon za kiwanja chao kisha walete tukiridhika tuta kubali.
 
Wapalestina wataendelea kuhangaika tuu vile vile jangwani hadi siku ya hukumu kwa sababu hakuna anaweza kuiangusha Israel na Marekani ufunguo uko hapo
 
Back
Top Bottom