Wazazi tuwe makini, tukague mabegi ya vijana wetu waliorudi likizo

Mzazi bila kua mnoko hawa watoto watatushinda. Huyu dogo kwanza yuko form one, halafu shule yao ni mwiko mwanafunzi kua na simu.

Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.

Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.

Shukuru mungu Mwanao ni kidume cha mbegu anawakula vizuri tu tena anatumia na kinga hilo huwezi kulizuia jombaaa ukishafika umri wa barehe hayo mambo huja automatically mwache dogo awazagamue tu sijaona kosa hapo labda ungetuambia umekuta msg za dogo anataka kuzagamuliwa na Vijana wenzie yaani anatabia za kishoga hapo ndio ningekuunga mkono ila venginevyo ukimpiga umemuonea tu.
 
Mzazi bila kua mnoko hawa watoto watatushinda. Huyu dogo kwanza yuko form one, halafu shule yao ni mwiko mwanafunzi kua na simu.

Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.

Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.
Ogopa mzazi anayecheka na wanawe hapo Angalia sana kuna shida
 
Huyo atapata ngoma Mapema Sana unabidi kumvisha sumu ili awachukie wanawake muingize katika ibada hata Kama wewe hausali

Kwani ukiwa Mzee ndio haupati ngoma….Embu mwacheni Dogo aendelee kuwazagamua hao mabinti mtoto ameshafikisha umri wa barehe na asali ameshailamba unazani unaweza kumzuia kuacha kupenda wanawake kwanza usikute amerisi kwa baba yake kuanza ngono akiwa mdogo. Muacheni dogo.
 
Kwani ukiwa Mzee ndio haupati ngoma….Embu mwacheni Dogo aendelee kuwazagamua hao mabinti mtoto ameshafikisha umri wa barehe na asali ameshailamba unazani unaweza kumzuia kuacha kupenda wanawake kwanza usikute amerisi kwa baba yake kuanza ngono akiwa mdogo. Muacheni dogo.
Asali gani?
 
Anatakiwa asome kwanza hayo atayakuta mbeleni
Umalaya huo kaunza miaka 13 kijana wa kiume mbeleni huwa hawana nguvu za kiume wengi waanza umri huo

Na wengine huwa hawawezi kuzaa na wanawake mbeleni kwenye utu uzima

Hao ndio huishia kusingizia kuwa mwanamke tasa kumbe mitasa yenyewe kidudu kimetema maji hadi damu kwa kuwa ova used kutia wanawake toka kidogo

Huo umri ni wa kijana wa kiume kukomaa nguvu za kiume kwa kula vizuri,kufanya kazi sana na kujenga mind yake ku focus kwenye.vitu muhimu vya maana kama masomo nk

Huyo mind yake imeshachafuka anaingia utu uzima kabla ya muda ndio maana vijana wengine ukiwaona ni vitoto tu lakini vina sura zimekomaa kuliko kikongwe Raisi wa Nigeria wa sasa shauri ya kuendekeza umalaya hasa vya kiume.Cha kiume kikianza tia tia wanawakebmapema kinakuwa na sura ya kizee
 
Daah form 1 ni mdogo sana kuanza hizo mambo, but atleast anazingatia matumizi ya kinga...

Shida ni kwamba wakati mwingine wanabebaga kinga na wakifika eneo la tukio hawazitumii. Au cha kwanza ndio wanavaa wakichelewa kumwaga wanavua. Kwahiyo dogo aache tu zinaa asome.
 
Mzazi bila kua mnoko hawa watoto watatushinda. Huyu dogo kwanza yuko form one, halafu shule yao ni mwiko mwanafunzi kua na simu.

Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.

Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.
Hapo mkuu kuna haja ya kumhamisha shule haraka. Either awe day. Au apelekwe shule yenye fensi za kibabe. Hiyo shule haimfai tena
 
Dunia inakwenda kwa kasi sana , form one tayari ana gemu za kirafiki na mabinti!!, mixer kubeti!!
Any way nikikuwa namuona mwanagu wa darasa la sita kama mtoto sana , naanza maandalizi ya kibabe kumdhibiti kama ntaweza
Mtu akisha anza kusikia nyege huwezi mdhibiti labda umuozeshe
 
Kama anajua kubeti mwache huyo anaweza kuwa mwekezaji mkubwa,Cha msingi mtoe shule mfungulie biashara kubwa,madamu hajawa shoga mshukuru mola wako
 
Mzazi bila kua mnoko hawa watoto watatushinda. Huyu dogo kwanza yuko form one, halafu shule yao ni mwiko mwanafunzi kua na simu.

Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.

Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.
Maji hufuata mkondo tulia😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom