Halafu nijuavyo mimi Mkataba wa kazi unapaswa kupewa baada ya miezi 6 kazini any way sisi Waafrika ni wagumu sana kuendelea hakuna anayetaka kuumia kwa ajili ya kesho kila mtu anataka ajenge nyumba mwezi wa kwanza kazini, anataka anunue gari ndiyo hivyo safari ni ndefu sana, hata hivyo sijui mazingira yao lkn kwangu kugoma kwenye Kampuni mpya ambayo hata mwaka haijafikisha ni mambo ya ajabu sana ...