Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,427
- 27,047
Mkuu nadhan wewe hujawai kufanya kazi ya kulipwa mshahara mwisho wa mwezi.. Pia kuna uwezekano bado unalishwa na wazazi..Hivi kwanini nchi hii inapenda migogoro isiyokuwa na sababu.!? watu hata mwaka bado tayari washaanza malalamiko.!
Tuko nyuma jamani tujitambue
Mwenzako hajalipwa mshahara miez miwili na bado unataka aendelee kuhenya, mtu hana mkataba wa kazi we unataka aendelee kupigika kama mjinga tu
Walichofanya ni haki na ni sahihi hata kisheria.
Kuwa na roho ya imani ndugu...