Watuamiaji wengi hapa bongo wa viagra wanadhani kuwa itawasaidia kuchelewa kumwaga na kuimarisha munkali lakini inaboresha uwezo wa mtalimbo kusimama

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
4,268
13,095
Unapaswa kujua kwamba Viagra haiongezei libido au kushughulikia sababu za kisaikolojia zinazokusababishia uwezo mdogo wa kudinda.

Viagra (sildenafil) haikufanyi "udumu zaidi" moja kwa moja kwa maana ya kuchelewesha kumwaga au kuongeza muda wa kujamiiana.

Kazi yake ya msingi ni kuwasaidia wanaume kufikia na kudumisha kusimama kwa kuboresha mtiririko wa damu kwenye uume, ambayo hushughulikia shida ya erectile dysfunction yani kutoweza dindisha kisawa sawa
 
ulipaswa uwaeleze wana nzengo ya JF viagra ni nini na kazi zake hasa ni zipi ndio uende kwenye mada...

All in all kuna vyakula vya asili kama Tangawizi, tende, maziwa, ndizi, mihogo mibichi.. ukitumia hizi zitakuongezea nguvu za kufanya mapenzi pasipo kuathiri Afya yako
 
Nafikiri uwanda wa nguvu za kiume ni swala pana.
Hapo kuna kutoweza dindisha
Hapo kutoweza kabisa kupata haja ya kufanya
Haja ilio ndogo sana ya kufanya sex
Kutoweza kuendelea kwa muda kiasi etc

Sasa itategemew yupo katika hali gani, kama itakuww ni issue ya kudindisha atapewa dozi ya sidefil

Hivi viagra zinatolewa hospital kama mtu akienda kumuona daktari kwa shida ya nguvu za kiume?
 
Duh na upendaji Nyuchi wote nilio nao aisee sijawahi tamani kutumia viagra , vumbi la kingo niliwah tumia nikaona halina raha yoyote bali ni kujitesa tu maana raha ya tendo wala hisia hupati nikalimbia nalo...

Nikaja kupata suluhisho ambalo ndio linanipa sifa nzr kwa Wanawake wa rika zote hd leo hii , yani humo ni utamu mwanzo mwsho bila tabu kusema ukweli 🤑
 
P
Duh na upendaji Nyuchi wote nilio nao aisee sijawahi tamani kutumia viagra , vumbi la kingo niliwah tumia nikaona halina raha yoyote bali ni kujitesa tu maana raha ya tendo wala hisia hupati nikalimbia nalo...

Nikaja kupata suluhisho ambalo ndio linanipa sifa nzr kwa Wanawake wa rika zote hd leo hii , yani humo ni utamu mwanzo mwsho bila tabu kusema ukweli 🤑
Pesa au sio??😂
 
Duh na upendaji Nyuchi wote nilio nao aisee sijawahi tamani kutumia viagra , vumbi la kingo niliwah tumia nikaona halina raha yoyote bali ni kujitesa tu maana raha ya tendo wala hisia hupati nikalimbia nalo...

Nikaja kupata suluhisho ambalo ndio linanipa sifa nzr kwa Wanawake wa rika zote hd leo hii , yani humo ni utamu mwanzo mwsho bila tabu kusema ukweli 🤑
Kwa hiyo na we unawasaga wenzio, au sio
 
ulipaswa uwaeleze wana nzengo ya JF viagra ni nini na kazi zake hasa ni zipi ndio uende kwenye mada...

All in all kuna vyakula vya asili kama Tangawizi, tende, maziwa, ndizi, mihogo mibichi.. ukitumia hizi zitakuongezea nguvu za kufanya mapenzi pasipo kuathiri Afya yako
siku hizi wanawake wengi wamegundua biashara kwa wanaume. Wanauza vipande vya mihogo, vipande vya karoti, vipande vya nazi na karanga kidogo ongeza na mbegu za maboga, huo mchanganyiko wanaita busta.
 
Unapaswa kujua kwamba Viagra haiongezei libido au kushughulikia sababu za kisaikolojia zinazokusababishia uwezo mdogo wa kudinda.

Viagra (sildenafil) haikufanyi "udumu zaidi" moja kwa moja kwa maana ya kuchelewesha kumwaga au kuongeza muda wa kujamiiana. Kazi yake ya msingi ni kuwasaidia wanaume kufikia na kudumisha kusimama kwa kuboresha mtiririko wa damu kwenye uume, ambayo hushughulikia shida ya erectile dysfunction yani kutoweza dindisha kisawa sawa
MkuuuuuuuuVijana WA Bongo
.sio kucheleaa hili SWALA linginee

Hataa kusimama n mgogoroo n janga la taifa mkuu nenda Moshi

Njoo dar balaaa kusimamjsha ni Moja kuchelewa n lingine

YAAN kuna ambaye anaomba isimamie HATA dk 2 amawage aende

Hili n janga la kitaifa mkuu na ndio maana mnaambiwa mjitunze

Woi..kuchelewaa nenda lodge ndio utacheka kaa reception

Mtu katoa 20-25 alf

Akichukua dk 7 NDAN nchape labda amelala

YAAN hizi dk n pamoja na kumwaga na kuoga na kujichana nywele

Anyway

Cc
Chamcongo
 
Haya matunda tunayochukulia poa kuyala yana nguvu nyingi mwanzo mwisho. Ukitaka uwahi au uchelewe kupiga goli yapo matunda ya kula. Kuna maziwa pia, haina haja ya kutumia dawa zenye nguvu kubwa mpaka zinazidi na kuleta madhara. Shoo inapigika kwa ubora wake bila kuathiri mwili
 
Mkuu niliaribu ofisi Moja miaka hio ya babamdogo na ilikuwa inalipa shetani akaniingia .nkaaka home nawaza wee gafla HATA nanii ukagoma sinana nkadanganywa na mcongo sinza

Nkaenda kununua aisee nilivyosema ndio ikasinyaa kabisaaaaa..NKAONA nineone dk nkamwelza hali iliontokeaa akaniambia relax kuna maisha BAADA ya kazi jitahidi nenda beach na SEHEMU zenye watu

NTAKUPA dawa nzuri itakusaidia sana
Mkuu NKAONA nimeandikiwa SEHEMU nenda kachukue

Tena tmj

Nkafikia home nkanywa niliambiwa mbili NKAWA nakunywa 3 naenda beach nacheza MPIRA narudi dosi

Dah siku ya 7 ikaamka aisee nilinsugua shemejioooo mbaya

Asbh nkaanka NKASEMA hizi dawa lazima niziandike nkae nazooooo

Kuzisoma ndani

N
Panadol
Na auntbiotic Moja aiseeeee nilichoka

YAan msala uliopoo sasa n kusimama hizo mda kuchelewa unaambiwa zitajirekebisha zenyewe hahahaaaa

Xx simaanishii mlambe Panadol NENDEN kwa ma dk xxxx
 
Wawekee
Haya matunda tunayochukulia poa kuyala yana nguvu nyingi mwanzo mwisho. Ukitaka uwahi au uchelewe kupiga goli yapo matunda ya kula. Kuna maziwa pia, haina haja ya kutumia dawa zenye nguvu kubwa mpaka zinazidi na kuleta madhara. Shoo inapigika kwa ubora wake bila kuathiri mwili
Mkuu OKOA jamiiiii
.Kyle Moshi NDUGU ZANGU wake zao 5 wamewakimbiaaaa

Zigzazg mwanzo mwisho wameamua kujinywea hi liyf mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom