Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

Soko(suuk) ni neno la kiarabu,wazanzibar wanalijua neno soko,walitumia kabla mwingereza hajaenda zenj,marikiti(market) ni la muingereza
Ni kweli mkuu, lakini kwa Sasa wanatumia wengi neno marikiti
 
Nimelitumia Sana Hilo neno robo tatu huko tabora,ni sahihi,hakuna shida,ukipima robo robo tatu unapata nusu na robo
Sio sahihi robo tatu inatumika kweny maumbo sio vipimo vya nafaka ...Hakuna jiwe la robo tatu la kupimia unga .
 
Mama yako mthenge๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…mnuka chupi!
Akili ya mtu wa Pwani kwenye ubora wakoo ๐Ÿ˜…๐Ÿคช

Yan hapo kwa huko Pwani unaonekana ni bonge la mjanja ๐Ÿ˜… na awamu hii mihogo imeenda na maji sjui mtatamba na nn ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Watu wa robo na nusu ๐Ÿ˜ watuu wa ๐Ÿ‘Œ
 
Hakuna jiwe la nusu na robo la kupimia unga
Sijawahi kuona ,mawe yale yapo kwa size ukitaka nusu na robo anaweka mawili nusu na lile dogo kabisa.

Kwetu tunauza duka tangu naondoka miaka ya 2006 ,labda mizani za sasa.

Kile kidogo kabisa robo tumefunga kabisa pale ,hilo jiwe sijawahi kuona.
 
Akili ya mtu wa Pwani kwenye ubora wakoo ๐Ÿ˜…๐Ÿคช

Yan hapo kwa huko Pwani unaonekana ni bonge la mjanja ๐Ÿ˜… na awamu hii mihogo imeenda na maji sjui mtatamba na nn ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Watu wa robo na nusu ๐Ÿ˜ watuu wa ๐Ÿ‘Œ
Meno ya kuoza ,kuoga tatizo kaa pembeni hata kuandika mitihani ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†
 
Sijawahi kuona ,mawe yale yapo kwa size ukitaka nusu na robo anaweka mawili nusu na lile dogo kabisa.

Kwetu tunauza duka tangu naondoka miaka ya 2006 ,labda mizani za sasa.

Kile kidogo kabisa robo tumefunga kabisa pale ,hilo jiwe sijawahi kuona.
Hayo ni mawe mawili,moja la nusu jingine la robo,kwenye la nusu Kuna robo mbili,ukiongeza na Hilo la robo inakuwa robo tatu
 
ZANZIBAR SWAHILI WORDS

wewe - weye

majukumu - kazi mkononi

funga mlango - tia Pete

usiniudhi - nitolee hashuo

nyanya - tungule

bubble gum - ubani

wali - ubwabwa

mjomba - ammy

sokoni - marikiti
Wali ni kitu kingine na ubwabwa ni kitu kingine, ubwabwa ni mapishi kama Wali sema unaekwa maji mengi unatota, mara nyingi hupikiwa mama waja wazi to waliojifungua. Pwani maneno yote mawili yanatumika.
 
Wali ni kitu kingine na ubwabwa ni kitu kingine, ubwabwa ni mapishi kama Wali sema unaekwa maji mengi unatota, mara nyingi hupikiwa mama waja wazi to waliojifungua. Pwani maneno yote mawili yanatumika.
Ahsante Sana mkuu, kwa kushiriki na kutoa elimu pana
 
Meno ya kuoza ,kuoga tatizo kaa pembeni hata kuandika mitihani ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†
Dada hv ww ndio wakuniambia mm kuandka kwangu ni tatzo !!๐Ÿ˜†๐Ÿ˜… kwamba hta kuandka ni mitihan ๐Ÿ˜๐Ÿ˜… sjui mitihan mingap ๐Ÿ˜…

Watu wa Pwani buanaa ๐Ÿ˜† hapo kanajiona kajanjaa ๐Ÿ˜ kumbe kachumbaa tuu.
 
Hayo ni mawe mawili,moja la nusu jingine la robo,kwenye la nusu Kuna robo mbili,ukiongeza na Hilo la robo inakuwa robo tatu
Sasa hapo kuweka mawili ndio watu wanatenganisha kuita nusu na robo ,tuje sasa anayesema robo tatu ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ndio nasikia leo tangu nazaliwa.

Vipimo kutokana na mawe mfano kilo mbili na nusu hapo umeweka jiwe na kilo mbili na nusu.

Sasa hawa wa robo tatu wametoa wapi ,wakati hivyo ni vipimo vya kweny maumbo ..Mbona kweny mafuta tunatumia lita sio sio kilogram.

Watu wa bara wanahitaji elimu sana kila sehemu kuna vipimo vyake.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Dada hv ww ndio wakuniambia mm kuandka kwangu ni tatzo !!๐Ÿ˜†๐Ÿ˜… kwamba hta kuandka ni mitihan ๐Ÿ˜๐Ÿ˜… sjui mitihan mingap ๐Ÿ˜…

Watu wa Pwani buanaa ๐Ÿ˜† hapo kanajiona kajanjaa ๐Ÿ˜ kumbe kachumbaa tuu.
Sikiliza kwanza wewe kenge wa bara! Ugali unaweza kugawa robo tatu ukiwa solid kwa kukata ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…kama slices ila unga huwezi kupima kwa robo tatu ,una mengi ya kujifunga ila anza na kuoga kwanza.
Unga unataja vipimo exactly kutokana na mawe ya kupima ,hizo robo tatu labda ugali ushapikwa upo solid ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…kama unataka kula ukataka hiyo robo tatu .

Hivyo vipimo vya robo tatu mtapeleka mpaka kweny mafuta ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…kenge wa bara mna mengi sana ya kujifunza .

Mafuta tunatumia lita kama vimiminika vingine hata mazima ..Vipimo vingine ni mm .
 
Unalazimisha ,mimi najua kiswahili kushinda aliyekuzaa ambaye hata kusoma hajui๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….

Watu wa pwani hatutaki shobo na wanuka midomo .!
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Waambie hao "Mwinyi" Kujikuta wajuaji nangali wali nazi wenyewe wametoka kuujua majuzi.
 
Sasa hapo kuweka mawili ndio watu wanatenganisha kuita nusu na robo ,tuje sasa anayesema robo tatu ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ndio nasikia leo tangu nazaliwa.

Vipimo kutokana na mawe mfano kilo mbili na nusu hapo umeweka jiwe na kilo mbili na nusu.

Sasa hawa wa robo tatu wametoa wapi ,wakati hivyo ni vipimo vya kweny maumbo ..Mbona kweny mafuta tunatumia lita sio sio kilogram.

Watu wa bara wanahitaji elimu sana kila sehemu kuna vipimo vyake.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hakuna mtu kutoka Pwani amewah kuwa akili ndio vilaza wa elimu nchi hii, watu wa Pwani kichwan ni weupe pee.

Kwenye 1kg kuna robo 4 ,unaposema robo 3 unakuwa umeeleweka Labda kilo zenu nyie zina robo ngap huko!?

Hyo nusu na robo huku kwetu ni mtoto mdgo anaejifunza kuongea ndio anaweza kuongea hvo, yn mtu mzima kbs ety robo na nusu Kwan haujui kwenye 1kg kuna 1/4 ngap kha.
 
Licha ya kiswahili kuzaliwa katika pwana ya Afrika mashariki, na kuzungumzwa zaidi Tanzania kuliko Mataifa yote. Kiswahili fasaha bado ni changamoto katika ukanda wa pwana ya Tanzania na visiwa vya Zanzibar.

Leo katika harakati zangu za pimbi katika mkoa wa pwani, nikapita katika duka moja la Mpemba hili kununua mahitaji yangu. Kwanza nikauliza kuna dawa ya meno, akanijibu ndio zipo, ila rafudhi imekaa kizanzibari fulani hivi, nikajua huyu mpemba. Akanitajia bei ya bidhaa niliyokuwa nahitaka, zilikuwepo bei za bidhaa tofauti tofauti na mbili wapo zilipishana utofauti wa bei ya shilingi 100, nikauliza kwa nini dawa hizi za kampuni moja zipishane utofauti wa 100.

Jamaa akazungumza kiswahili ambacho mimi binafsi nilikuwa sielewi nini anazungumza, niliona ana bwabwaja tu, kikugha si kilugha kiswahili si kiswahili huku mimi nikinasa maneno machache tu. Sentensi pekee niliyoinasa ni "Ndio maana watanzania mkienda Kenya mnawekwa mahabusu hamsikilizwi, polisi wanakwepa kuzungumza nanyi kiswahili" moja kwa moja nikajua jamaa kiswahili anapata tabu sana kizungumza kwa ufasaha.

Wazaramo na makabila mengine ya pwani wanapuyanga sana kwenye kiswahili;

Mfano: Robo tatu, wao wanaita nusu na robo ambacho si kiswahili fasaha.
Inaonekana wewe ndio hujui vizuri kiswahili.
Kiswahili kina lahaja tofauti tofauti na nusu na robo ni sahihi wala haijakosewa.
 
Hakuna mtu kutoka Pwani amewah kuwa akili ndio vilaza wa elimu nchi hii, watu wa Pwani kichwan ni weupe pee.

Kwenye 1kg kuna robo 4 ,unaposema robo 3 unakuwa umeeleweka Labda kilo zenu nyie zina robo ngap huko!?

Hyo nusu na robo huku kwetu ni mtoto mdgo anaejifunza kuongea ndio anaweza kuongea hvo, yn mtu mzima kbs ety robo na nusu Kwan haujui kwenye 1kg kuna 1/4 ngap kha.
Robi tatu kweny unga? Hakuna weny akili kutoka bara tangu nchi iumbe ,wakati tunatafuta uhuru nyie hata kuoga hamjui๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….

Bara wengi wathenge ndio maana mnajazana huku pwani ,angalia context eti kipimo cha unga robo tatu ina maana aweke majiwe matatu ya robo?

Wajinga sana mna mengi ya kujifunza hakuna aliyeoza meno huku, tunachek sijui mnakula kinyesi meno yana kutu kama ngedere.

Akili mzitoe wapi ๐Ÿ˜…? Wachafu shenzi kabisa!

Entertainment zote zipo pwani kila kitu mpaka elimu..Mfano mimi nije bara kufanya nn ? Sehemu ina washamba watu wachafu wananuka kama mbuzi!

Hayo manukato bara hamna ,wezi mnanuka.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom