Watu wanahama Dar si mchezo, kuna nini huko?

Vitu gani unavioata bure huko kwenu
Maji c lazma ununue visima vipo vya kutosha uwezo wako.
Usafiri co lazma daladala hata

cowcart ama horsecart niusafiri.

Chakula nacho unaweza kula hata maembe miti ipo tuu na hakuna wa kukuuliza Na maisha yakasonga.

Vila raha bhana stress huku ujitakieee
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Kwenu ni Dodoma? Kama ni Dodoma wamezoea kukaa karibu na wakuu wameamua kuwafuata
 
Hakuna wa kuwatumbua bali wanajitumbua wao baada ya kukosa hela ya kijanja janja,kimkato mkato na kidili dili kukidhi mahitaji yao na ziada ya kula bata batani. Heshima itarudi tu mtaani kama bado unadhani haijarudi, hahahahaaaaaaa!!
Au ningesema wanajiongeza tu kuwa huko sio mahali pao
 
Acheni watoke wanastahili kukaa dar wakae jaman duh.

Mbna wafanyakazi hewa wametoka kuacha nafac kwa wanaostahili?????
 
Bado nakumbuka...

Kuishi dar kwa raha tumia hii

Theory.

Survive of the fittest.

Hao wanaoondoka wamechemka actually they are so inferior to others.

Bora fedheha kuliko lawama....

So ni bora wajulkane wa vijijin kuliko kuishi mjini wakati pumzi ya kuwaweka huko hawanaaaa
 
Mwenda kwao si mtoro. Wewe ulitaka warudishwe wakiwa marehemu? Bora warudi wakiwa hai ili kama ni kufa waje wafie huko huko ili kupunguza gharama ya usafiri
 
we we we we Acha tu huku noma kuna jamaa anaitwa Paul Makonda kafunga pesa zetu zote za magumashi,yaani no ngada,sisha,bangi,upanya road, bila kusahau mkulu wake anapiga ngumi za uso tu yaani huna cheti we kilaza chagua jela au home, yaani dili zote hovyo.jero siku hizi tunaita mia tano,laki ni pesa kubwa si kama kale laki si pesa
 
Wamekuja kulima mashamba mbona bwana mkubwa alisema kama huna kazi rudi SHAMBA
 
Au ningesema wanajiongeza tu kuwa huko sio mahali pao
Upo right aroo we mekuu, bali nilikuwa nasiliba kidogo ili kuongeza nyama. Sasa hivi viheshima na visalamu vinatolewa na wale wakati ule fweza kibao.Ukiwakuta sehemu za starehe wanakuona wapi nawe umeziokota siku hiyo. Siku hizi hata sehemu walizozoea kula bata wana bip, labda mwisho wa mwezi ndio utaona vurugu kidogo.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Hapa kazi tu imeleta heshima, ndoa zinafurahiwa sasa eti foleni ya barabarani, masistaa duu kuhongwa sasa ni issue,wanapiga miayo tu. Vijumba navyo havimaliziki kujengwa, gari zinauzwa hamna wanunuzi, viwanja ndio vipo bwerere wanunuzi hawaonekani.
Lakini bado kuna watu wanapata hela na wanazo,kikubwa dili dili sasa hivi hakuna kwa wale tuliozoea ndio tatizo. Karibuni Nyamswa huku Mara maisha bado ni ya kawaida tu, dar sio kwenu.
 
Upo right aroo we mekuu, bali nilikuwa nasiliba kidogo ili kuongeza nyama. Sasa hivi viheshima na visalamu vinatolewa na wale wakati ule fweza kibao.Ukiwakuta sehemu za starehe wanakuona wapi nawe umeziokota siku hiyo. Siku hizi hata sehemu walizozoea kula bata wana bip, labda mwisho wa mwezi ndio utaona vurugu kidogo.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Hapa kazi tu imeleta heshima, ndoa zinafurahiwa sasa eti foleni ya barabarani, masistaa duu kuhongwa sasa ni issue,wanapiga miayo tu. Vijumba navyo havimaliziki kujengwa, gari zinauzwa hamna wanunuzi, viwanja ndio vipo bwerere wanunuzi hawaonekani.
Lakini bado kuna watu wanapata hela na wanazo,kikubwa dili dili sasa hivi hakuna kwa wale tuliozoea ndio tatizo. Karibuni Nyamswa huku Mara maisha bado ni ya kawaida tu, dar sio kwenu.
Ahhaa kumbe uko mara mkoa wangu huo daah...
 
Mambo yaliyosababisha kwa mtazamo wangu

1.ugumu WA maisha

2. Fedha kupata imekuwa mziki.

3.dili Hakuna.

4.............
 
View attachment 511953

Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Brother Magu alisema ' UKIMUDU KUISHI DAR KIUJANJA UJANJA HADI MWEZI WA SITA MWAKA HUU BILA KUKIMBIA BASI WEWE NI KIDUME'
 
Kwan ujasikia kauli ya mkuu ww
Ukikaa town hadi mwezi wa saba ww kidumu??
Kidumu au kidume? Juzi nimekutana na sistadu moja aliyeondoka kijijini miaka 12 iliyopita baada ya kupata buzi dar, anafanya uchuuzi wa vitenge na kanga na anataka kurudi kijijini, nimemuuliza kulikoni kasema jamaa mkorofi wakati najua jamaa mirija imebuma. Nilimwahidi nitampa heka mbili za kulima viazi, ili apauke vizuri na vijana wa poti wamzukie na kumwoa. Kazi tu hapa, vi appartment, harrier, ist nk sasa hivi hakuna wahongaji, akitaka bia ni mtindo wa bingwa,mzinga wa konyagi au balimi tu, akitaka henken/windhoek apuyange zake huko.
 
Back
Top Bottom