Watu wameminywa kwenye asilimia 50 ya iliyokuwa Gaza wakiachwa wafe bila chakula, maji na mahitaji mengineyo muhimu ya kibinadamu

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
9,284
14,800
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza

Umesahau October 7? Hivi Webabu, mlipolianzisha hili zali mlidhani Israel ita respond vipi? Iran iliwadanhanya vibaya! Hezbollah iliwaingiza mkenge!
 
Umesahau October 7? Hivi Webabu, mlipolianzisha hili zali mlidhani Israel ita respond vipi? Iran iliwadanhanya vibaya! Hezbollah iliwaingiza mkenge!
Umesahau October 7? Hivi Webabu, mlipolianzisha hili zali mlidhani Israel ita respond vipi? Iran iliwadanhanya vibaya! Hezbollah iliwaingiza mkenge!
Usitie shaka wala usishangilie vita bado havitaisha.
Karibuni nitakuja kukusuta na wewe nikuulize ulidhani Israel ina uwezo wa kushindana na Allah na kwamba ingeachwa ifanye kama inavyotaka daima bla kuadhibiwa.
TUkiandika kama hivyo hapo juu haina maana ya kukata tamaa au kulia bali ni katika kuweka sawa matukio ili yakibadilika kila mmoja ashike akili yake.
 
Usitie shaka wala usishangilie vita bado havitaisha.
Karibuni nitakuja kukusuta na wewe nikuulize ulidhani Israel ina uwezo wa kushindana na Allah na kwamba ingeachwa ifanye kama inavyotaka daima bla kuadhibiwa.
TUkiandika kama hivyo hapo juu haina maana ya kukata tamaa au kulia bali ni katika kuweka sawa matukio ili yakibadilika kila mmoja ashike akili yake.
Huwa ni muhimu kuandika kuwe na kumbukumbu.

Mfano yasingeandikwa ya OKTOBA 7, 2023 leo tungedhani HAMAS anaonewa, na tusingejua wapalestina waliyachagua haya kwa kuchagua Hamas
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza

Wamejitakia!
 
Usitie shaka wala usishangilie vita bado havitaisha.
Karibuni nitakuja kukusuta na wewe nikuulize ulidhani Israel ina uwezo wa kushindana na Allah na kwamba ingeachwa ifanye kama inavyotaka daima bla kuadhibiwa.
TUkiandika kama hivyo hapo juu haina maana ya kukata tamaa au kulia bali ni katika kuweka sawa matukio ili yakibadilika kila mmoja ashike akili yake.
Ulipoweka udini tu hapa, nikajua huna lolote zaidi ya propaganda.
Uislamu mnafanya uchukiwe kwa upumbavu huu.
Mnashangilia kushambulia raia?
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
Kulia kupokezana,Octoba 7 kobazi waliahangilia sana na kuimba mapambio kwa hamasi na shetani wao alla.

Sasa kaeni kutulia isreil mtoa roho yupo kazini
 
Haya na wewe kwa sasa shika akili yako piaaa
Usitie shaka wala usishangilie vita bado havitaisha.
Karibuni nitakuja kukusuta na wewe nikuulize ulidhani Israel ina uwezo wa kushindana na Allah na kwamba ingeachwa ifanye kama inavyotaka daima bla kuadhibiwa.
TUkiandika kama hivyo hapo juu haina maana ya kukata tamaa au kulia bali ni katika kuweka sawa matukio ili yakibadilika kila mmoja ashike akili yake
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
kwanini msiwashinikize Hamas wawaachilie hao raia wa Israel waliowafanya mateka kwani wapalestina wateseke hivi kisa ya mateka 59 wanawang'ang'ania Nini?
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
October 7 Hamas walipoua wayahudi 1200 na kuwaburuza wengine mitaa ya Gaza huku wapalestina wakishangilia na kunywa gahawa wakimsifia Allah kawasaidia kumpiga myahudi ulitegemea Israel ingefanya nini?
 
Usitie shaka wala usishangilie vita bado havitaisha.
Karibuni nitakuja kukusuta na wewe nikuulize ulidhani Israel ina uwezo wa kushindana na Allah na kwamba ingeachwa ifanye kama inavyotaka daima bla kuadhibiwa.
TUkiandika kama hivyo hapo juu haina maana ya kukata tamaa au kulia bali ni katika kuweka sawa matukio ili yakibadilika kila mmoja ashike akili yake.
Sasa kama mnamtegemea Allah mnakuja kulia lia nini huku kutafuta huruma ya Dunia pigane na huyo myahudi mliomchokoza na Allah awasaidie miaka nenda rudi mnamchokoza Israel mnasema Allah atawasaidia mnaishia kupigwa hata hamshindi vita mmebaki kulia mauaji ya kimbari wanawake na watoto wanauliwa Dunia iwatete
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
Neno kwenu ni fupi tu. ACHENI UGAIDI.
 
Kabla vita kuanza mwaka juzi Gaza ilikuwa ndio eneo pekee duniani lililokaliwa na watu wengi zaidi kwa kilomita mraba kuliko eneo lolote duniani.

Baada ya karibu miaka miwili sasa Israel imeharibu eneo lote lililokuwa likitumiwa na wapalestina hao kujilimia kitaalamu mboga mboga ambazo ziliwasaidia pakubwa kujikimu kwa chakula

Pamoja na kuminywa kwenye eneo dogo kiasi hicho pia wamezuiliwa kupata chakula na maji yaliyokuwa yakiingizwa eneo hilo kama msaada kutoka nje ya nchi.

Kibaya zaidi watu wote duniani wameshindwa kuingilia kati kuokoa maisha ya watu idadi hiyo na hata kumlaani anayewafanyia unyama huo.

Watu wazima na watoto wamekuwa wakisongamana kwenye majalala kutafuta chochote chenye harufu ya chakula ili watie tumboni.Miongoni mwa wanaoonekani kwenye majalala ni wale waliokuwa matajiri wakubwa wa Gaza ambao walimiliki biashara kubwa pamoja na majengo ya fakhari.

Watoto wadogo walio chini ya miaka 2 ambao ni muhimu zaidi kula ili wapate makuzi ya kuwafanya wawe watu wazima wenye afya wamekuwa wakinyong'onyea kiafya kutakakopelekea kupungua idadi ya wanaokuwa wakubwa ili waje washike nafasi za wazazi wao.

Kutopatikan kwa faragha huku wao wakiwa ni binadamu kumewakosesha nafasi ya kukutana kimapenzi na kuzailaina zaidi.

Hayo yote yakitokea Marekani imekuwa ikitoa ushirikiano mkubwa kwa Israel ili kuzuia yeyote nje ya Gaza kuinua sauti kuwateta watu hao.Hapo jana waziri wa Marekani alikuwa Lebanon kuitaka nchi hiyo iwanyang'anye silaha wapiganaji wa Hizbullah mapema iwezekanavyo.Sambamba na hilo Marekani imekuwa ikiwashambulia Houth mfululizo na imeshatayarisha silaha nzito zaidi kwa nia ya kuleta maangamizi kuliko yaliyotangulia.

Matukio hayo yanakwenda sawa sawa na kile alichokitaja na kukiahidi raisi Trump kama jehanamu kwa watu wa Gaza
October 7 Hamas walirusha maroketi 7000 isingekuwa Iron dome Leo Israel ingekuwa historia Sasa Israel anajibu mapigo ya ushetani wahamas kupanga njama na Israel kumefeli
 
Back
Top Bottom