Watu 6 wamefariki kwa ajali Katavi

Watu sita wamekufa maji na wengine 2 wamejeruhiwa huko Mkoani Katavi.

Tukio hilo limetokea baada ya gari lao kutumbukia Mto Koga wakati wakijaribu kuvuka daraja la mto huo.
Hivi abiria na madereva watajifunza lini??!! Kila siku tunawaambia maji yanayotembea hata yakiwa usawa wa ugoko usijaribu kuyavuka na gari lako
 
Watu sita wamekufa maji na wengine 2 wamejeruhiwa huko Mkoani Katavi.

Tukio hilo limetokea baada ya gari lao kutumbukia Mto Koga wakati wakijaribu kuvuka daraja la mto huo.
Kuna haja kubwa kwa serikali kutoa elimu ya haraka kuhusu kuendesha magari kwenye maji yanayokinzana na mwelekeo wa gari pia na kina kisichojulikana urefu wake
Nimeiona hii clip fb, jamaa wamekufa huku wanajiona, ogopeni maji wadau, walikuwa kwenye landcruiser pick up
 
Link ya face book ndo hiyo:



Ila ni uzembe wa dereva. R.I.P wahanga, inauma sana, Hutakiwi kucheza na maji yanayotembea, maji yajizidi tairi tu kukatiza umbali mrefu ni majaliwa!
 
Back
Top Bottom