Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 9,634
- 15,121
Kwanini ulevi wa aina yoyote ile umetajwa kuw ni haramu ni kwa vile unasababisha majanga makubwa kwa watu waiso na hatia.Mtume saw kasema ulevi na mama wa maasi.
Watu 12 huko Ecuador wamepigwa risasi na kufa wakati wakishuhudia vita vya kuku.
Seriakali ya nchi hiyo imeshawakamata watuhumiwa kadhaa ikitaja kuwa wahusika wa makundi yanayojihusisha na biashara ya coacaine ambao walikuwa wakiwavizia wenzao waliohisi walikuwa miongoni mwa washabiki wa mchezo huo.
Watu 12 huko Ecuador wamepigwa risasi na kufa wakati wakishuhudia vita vya kuku.
Seriakali ya nchi hiyo imeshawakamata watuhumiwa kadhaa ikitaja kuwa wahusika wa makundi yanayojihusisha na biashara ya coacaine ambao walikuwa wakiwavizia wenzao waliohisi walikuwa miongoni mwa washabiki wa mchezo huo.