mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,390
Acha kufata mkumbo kwa vitu usivyo na uhakika navyo!Mbona na sisis tumeshaanza zamani. Ben yuko wapi? etc na tusiowajua. tumewatangulia wakenye kuua/kupoteza
Acha kufata mkumbo kwa vitu usivyo na uhakika navyo!Mbona na sisis tumeshaanza zamani. Ben yuko wapi? etc na tusiowajua. tumewatangulia wakenye kuua/kupoteza
You must be an imbecileAcha kufata mkumbo kwa vitu usivyo na uhakika navyo!
Kamanda Mawazo jamani.kesi imeishia wapi ?Back to the dark ages again,
Kujeni mfundishwe na Ccm namna ya kufunga goli la mkono bila ya kumwaga damu .
Kenyans please grow up!!
ucha uvivu wa kusoma ukaishi kwa yale ulyokalili ka kipofu ushapewa jina SOMA HABARI ZAKEWa wapi huyo? Nchi gani
Lkn waanze na Watoto / ndugu zako kwanza halafu ndiyo wahamie kwingine!
The police are holding a suspect who happens to be the kids uncle...sad and if proven that he committed these heinous acts,he too should die by being decapitatedWatoto 3 wa mgombea ubunge huko Eldoret Kenya ambao walikuwa wamepotea wamekutwa wameuawa na maiti zao kutupwa kwenye mto Nzoia. Watoto hao walipotea toka jumamosi iliyopita wakati wakitoka kanisani (Eldovil SDA Church).
View attachment 511486
Mgombea huyo ambaye watoto wake wameuawa anaitwa jina James Ratemo wa Jubilee.
Na mgombea Udiwani huko Machakos Thomas Minito amekutwa ameuawa na maiti take kutupwa Athi River huko machakos.
Basi ungeandika manchi na sio ManjiNchi ---> "nji"
wingi wa "nji" ni "manji"