Kwa mujibu wa TRA wastani wa magari mapya 100,000 husajiliwa kila mwaka. Ukitaka maelezo mengi wapigie Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jeshi la Polisi - Kitengo cha Usalama Barabarani watakujibu
Hizo zinaleta ukakasi, hasa kutofautisha 0 na O, I na 1
Pia gari za serikali now wametoka STK, STL, STM sasa wapo STN usishangae wakaruka Tena O wakaja na STP,
Vivyo hivyo DFP zilishajaa wakaja na DFPA now wapo DFPB watafanya hivyo hivyo kuiruka O na I.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.