Wataalam wa hesabu, Kuna magari mangapi yaliyosajiliwa Plate Number A mpaka E?

G Tank

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
2,297
8,752
Kuanzia Plate number AAA mpaka E ya mwisho, kuna magari mangapi

Hint: Kuna herufi za platenumber huwa zinarukwa
 
Kama unajua hesabu za permutations and combinations haitakusumbua hiyo number. Kama mvivu Nenda chatGPT.
 
Kwa mujibu wa TRA wastani wa magari mapya 100,000 husajiliwa kila mwaka. Ukitaka maelezo mengi wapigie Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jeshi la Polisi - Kitengo cha Usalama Barabarani watakujibu
 
tumia kanuni za arrangements hadi current number E minus namba ambazo hazitumiki kabisa na zingine huwa reserved.
 
Kuna herufi kama I na O sijawai kuziona kwenye platenumber
Hizo zinaleta ukakasi, hasa kutofautisha 0 na O, I na 1

Pia gari za serikali now wametoka STK, STL, STM sasa wapo STN usishangae wakaruka Tena O wakaja na STP,
Vivyo hivyo DFP zilishajaa wakaja na DFPA now wapo DFPB watafanya hivyo hivyo kuiruka O na I.
 
Back
Top Bottom