Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 3,770
- 11,858
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.
Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.
Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?
Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni wanasema eti ni mali ya Usalama wa Taifa.
Hivi wahalifu si wanaweza kutumia mwanya huo kusafirisha silaha, madawa ya kulevya, magaidi n.k?