Wasomi na kiingereza

Sio kila mtu anaenda kusoma Semantic chuoni bro au English structure au Language morphology na phonology au phonetics.
Bora umwambie huyu, kwasababu hajui anachokiongea watu wamesoma technical English ambayo haitumiki mtaani mnatuona hatujui kiingereza. I have two buffer solution. But I want to increase it's molarity. Can you give me that Diaminoethylene tetraacetate I want to titrate with Marble Chip's.
 
kila mtu anafanya aonacho sahihi
unataka kumpangia mtu cha kufanya?

kwan lazim uvae saa mkononi
hata kiunoni unavaa tu
Hakuna kitu kama hicho unachojaribu kusema... Kwann usiweke matairi ya gari juu, au utembelee mikono!?

Kwa kukusaidia Intelligence inapimwa kwa vitu/matendo tunayoweza kuyaona. Maana hakuna mwanadamu anayeweza kuona uwezo wako wa kufikiria kwa kukutazama tu...na ajabu zaidi hakuna hata mashine yenye huo uwezo.

Wazungu wanasema "Ignorance and Silence attributes to Death on any issue in Life...na Sisi twasema Mficha Uchi Hazai.

Sisi tutakupa mtihani, utaandika ndio tutajua what's in your mind.. otherwise how would we know!?

Lakini kuwa retarded au ignorant is a choice.. na in a free world hakuna anayekukataza kuwa mjinga ni uamuzi wako... Na jukumu la walimwengu ni kukuheshimu hata ukiwa kiazi.
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree,masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa?
Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?

Wewe mwenyewe umeshindwa kutambua kuwa lugha ya kiingereza sio kipimo sahihi cha ujuzi au taaluma ndio maaana waingereza wote sio maprofesa wala madokta, maaana yake kujua kuongea kiingereza sio sababu ya kuwa profesa au daktari.
Watanzania wengi bado tunaulimbukeni Na lugha ya kiingereza tunadhani kuwa anaye weza kuzungumza kiingereza basi huyo ndie kaelimika!!!!!! Kwa hiyo waingereza wote wameelimika!!!!!!
Thamini lugha yako acha utumwa
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree,masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa?
Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Huna haja na kujisumbua na lugha za kigeni namna hiyo, hiyo broken english si unamuelewa alimaanisha nini? Historia ya nchi yetu inatosha kukupa majibu ya swali lako. Ndiyo maana leo hii Nigerian hata shule hajaenda ila anatema ung'eng'e Kama trump.
 
Ungeanza kuwafundisha watanzania wanao shindwa kutamka au kutofautisha kati ya "R" na "L" ufasaha wa kiswahili tu ni tatizo halafu unatka watamke kiingereza Kwa ufasaha?!
 
I have set a trap for you in which you are trapped.

Is there any African english??, if there is any and in this case you prefer it to American and British English then why condemn the one who started the sentence with; " is you coming------", ----that's an African English so to say.

You have no maral authority to condemn him/her.

 
Nyerere mwenyewe wakati wa kudai uhuru akiwa anaongea na wazee wa dar es salaam alikiri kwamba kiswahili chake kilikuwa kibovu, lakini haikumwondolea kuaminika kwa wale wazee, sasa itakuwa kiingereza bhana lugha ambayo ililetwa na meli....
 
Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa

Sio kweli. Tafuta waliosoma engineering UDSM enzi za Nyerere na Mwinyi na hata nje ya nchi hasa UK & US. Hata poems wanakuandikia. Sisi wengine tulisoma shule zetu zote hapahapa tukaanza kazi kwenye miradi yenye wageni kibao. Mawasiliano hata mastory yalikuwa kama kawaida kwa kiingereza tangu siku ya kwanza.

Huwezi kuwasilisha/kujadili dhana ya kihandisi au kihisabati (engineering or mathematical theorem) kwa kiingereza bila kuwa na “fluency” ya kutosha.

Tukubali tu kuwa uwezo wa kuendeleza hii lugha nchini umeshuka sana na sasa unaelekea kufa kabisa ukichagizwa na kampeni ya kinafiki ya kutumia kiswahili kama lugha ya kufundishia hatua zote za elimu. Hata kiswahili fasaha nacho kiko mashakani.
 
Hivi wanafunzi waliomaliza vyuo vikuu Afrika mashariki ya zamani Tz, Kenya Uganda wakifanyiwa interview ya kufa mtu ili kuajiriwa Watanzania wataajiriwa kweli? Utasikia wanapendelea Kenya na Uganda! Kumbe lugha ya malkia ndio tatizo!
Watu wanapanic sana hapa ila huo ndo ukweli na unauma.
Tunapitwa na mengi sababu ya lugha
Wakubali wakatae kiingereza kina umuhimu wake
 
Ungeanza kuwafundisha watanzania wanao shindwa kutamka au kutofautisha kati ya "R" na "L" ufasaha wa kiswahili tu ni tatizo halafu unatka watamke kiingereza Kwa ufasaha?!
Hayo wameanza kufundishwa tangu vidudu..
Nianze kumfundisha mtu mzima
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
The problem it might be our education system from the beginning for instance back in university all students focus on how no to fail their exams so the principle is simple you just swallow the whole book just to have good grades and avoiding supplementary and all. And thats goes to each and every level of education in this country. Also that's is not our natural born language even those interviewer theire not that much good as they say they are . So how about we both grow a pair of balls and help each other and stop complaining about something which is not ours.
 
The problem it might be our education system from the beginning for instance back in university all students focus on how no to fail their exams so the principle is simple you just swallow the whole book just to have good grades and avoiding supplementary and all. And thats goes to each and every level of education in this country. Also that's is not our natural born language even those interviewer they not that much good as they say they are. So how about we both grow a pair of balls and help each other and stop complaining about something which is not ours.
Or just get rid of it.. get better at our Swahili then go ahead and learn something new!?

Kiswahili ndio Uswahili wenyewe(Ustaarabu wa kiswahili).. Utastaajabu wajerumani wangapi hawajui Kiingereza...and it's okay.. but they speak their language very well.. na ni sifa njema na kubwa mtu kuzungumza lugha yao vema.. mpaka wanatoa misaada kuifundisha duniani.

Shida kama tulivyo Watu wa temporary... Grass is always greener on the other side.. tumejikuta kizungu kimekuwa deal kubwaaa.. na kiswahili we can just go ahead and abuse it as much as we want..

Its not right!

Mtu anatoa fedha kulipia Assimilation ya mwanae... Not conquering his environment and his problem.. ila Kutatua shida za kizungu na matatizo ya kuambiwa...

Mungu Atusaidie.. we (Afrikans) grow dumber by the minute!
 
Back
Top Bottom