Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,043
- 1,583
Wakuu
Walee tunaonunua ndinga mikononi mwa watu bila kubadili umiliki tumefikiwa.
TRA imesema kuanzia January 20 itaanza kutumia mfumo unaoitwa IRAS ambao hautaruhusu alieuziwa chombo cha moto kubadili umiliki, badala yake alieuza chombo hicho ndiye atakua na uwezo wa kubadili umiliki pekee
Maswali
Siku 13 pekee zinatosha?
Walio mbali na access za TRA watabadili vipi kwa haraka?
Source; Mwananchi
Walee tunaonunua ndinga mikononi mwa watu bila kubadili umiliki tumefikiwa.
TRA imesema kuanzia January 20 itaanza kutumia mfumo unaoitwa IRAS ambao hautaruhusu alieuziwa chombo cha moto kubadili umiliki, badala yake alieuza chombo hicho ndiye atakua na uwezo wa kubadili umiliki pekee
Maswali
Siku 13 pekee zinatosha?
Walio mbali na access za TRA watabadili vipi kwa haraka?
Source; Mwananchi