Wasikikizeni wasanii wenu ambao raisi kawekeza huko

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
9,564
20,741
Tukisema nchi hii inapoelekea mpaka Mr pimbi naye anaitisha vyombo vya habari kuongea upimbi wake.
Wale tunaowakodisha kusimamia harusi na kucheza kwenye harusi ili limetokea huko naijeria yule aliyekuwa mnunua simu za wizi kinondoni na kuwa msanii na kutoboa kimaisha baada ya ruge kufa anajaribu kuishauri serikali.
IMG_1199.jpeg
 
Tukisema nchi hii inapoelekea mpaka Mr pimbi naye anaitisha vyombo vya habari kuongea upimbi wake.
Wale tunaowakodisha kusimamia harusi na kucheza kwenye harusi ili limetokea huko naijeria yule aliyekuwa mnunua simu za wizi kinondoni na kuwa msanii na kutoboa kimaisha baada ya ruge kufa anajaribu kuishauri serikali.
View attachment 3308242
Rangi gani tena wanazotaka za upinde au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom