Wasichana oneni huruma, siku ya kwanza tu unaomba na hela (kizinga) live

YAANI NISIPOOMBWA PESA NA DEMU WANGU NAJISHUKU VIBAYA IKIPITA WIKI MBILI LAZIMA NIMUITE NIMPE TU ATA ASIPONIAMBIA KUWA ANATAKA HELA,YAANI HAKUNA RAHA HAPA DUNIAN KAMA DEMU WAKO KUKUSIFIA KUWA UNA MJALI PIA MWENYEWE ANAPENDA KUWA ANA BONGE LA BWANA.
Kwa demu wako sawa... lakini mkuu mtu ndio mara ya kwanza kuonana hata denda hujampga afu anakuambia anaomba soda halafu anasisitiza kila mkipga stori anakukumbusha ni sawa kweli?
 
umeombwa ya soda kelele je ungeumbwa ya kusikia nywele si ungezimia kabisaaaa mkuu usipaniki
 
Kwa demu wako sawa... lakini mkuu mtu ndio mara ya kwanza kuonana hata denda hujampga afu anakuambia anaomba soda halafu anasisitiza kila mkipga stori anakukumbusha ni sawa kweli?
ilo demu la uswahilini hawana aibu ata kidogo pole kwa kukukuta
 
Back
Top Bottom