Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,473
- 4,787
- Thread starter
- #21
Kabisa asee..Alikiba anajitambua sana japokuwa ana mapungufu yake kama ulivyosema hapo juu,hebu angalia ile picha ya Ben pol akionyesha makalio
Big up kwake.
Kabisa asee..Alikiba anajitambua sana japokuwa ana mapungufu yake kama ulivyosema hapo juu,hebu angalia ile picha ya Ben pol akionyesha makalio
Big up kwake.
Hahah...mbona akina fa na niki wameenda shule?Sijawahi kuona msanii yeyote wa bongo fleva wa maana, nawaona wote sawa tu kwa sababu ni wasanii na waigizaji wa mambo ya nje. Inabidi serikali iwakamate hawa wote na kuwarudisha shule.
Ni sahih lakini...Kila mtu ana uhuru wa kufanya/kuishi anavyotaka sio kuiga life style ya mtu usitake wote tufanane
Kibabe...yeah kweli mkuu.Hawa tatzo lao ni elim na misifa? Ali k kasoma bwana, huwez kumkuta anafanya mambo ya hovyo kama malimbuken wengn. Wasanii wengine waliosoma na wanaojiheshm n AY, prof j, na wengn wachache sana
Mweemwe...Mweee
Yea ni kweli amebadilika positively.Uchambuzi mzuri sana mkuu,hongera ila kwa jinsi ulvyoelezea yeye ali k ni anaundergo positive changes sio za kishamba au kijinga kama wengne wanakoelekea ni kubaya zaid.
aya...Team ali K*** at work
Sijakuelewa mkuu,umeandika unaenda mbele na kurudi nyuma at th same tym.Usipende kuudhi watu wanaojielewa hapa, Tanzania hakuna wasanii wala celebrities. Hao uliowataja ni wasanii tu na wababishaji.
![]()
15 may 2017
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/11741f51df6b7306e02b285964b91df9
14 may 2017
Sijui unamzungumzia Ali K wa mwaka gani sijajua bado mtoa mada acha ushamba.
Msanii.ni cha jamiii ndo hivi kweli.Hao ni wasanii kunyoa viduku suruali kuavaa zilizochanika eti anajieshimu thubutuuu but siyo kwa wasanii.[/QUOTE]
Sawa..ila andika vizuri,nimekuelew...but kiba anajitahid haweki mambo yake hadharan wala hafanyi kwa makusudi ili aonekane.
dah h ya ben,pol kali asekuna jamaa anaitwa Ben Paul..kashatoa cover la nyimbo sijui kitu gani yuko uchiiiiiiiii...walah wabilah huu mziki una mambo mengi ambayo hatuyajui washabaki
Samahani bro alikiba ana elimu gani?Hawa tatzo lao ni elim na misifa? Ali k kasoma bwana, huwez kumkuta anafanya mambo ya hovyo kama malimbuken wengn. Wasanii wengine waliosoma na wanaojiheshm n AY, prof j, na wengn wachache sana
Usipende kuudhi watu wanaojielewa hapa, Tanzania hakuna wasanii wala celebrities. Hao uliowataja ni wasanii tu na wababishaji.
Ana elimu gani mkuu ????Hawa tatzo lao ni elim na misifa? Ali k kasoma bwana, huwez kumkuta anafanya mambo ya hovyo kama malimbuken wengn. Wasanii wengine waliosoma na wanaojiheshm n AY, prof j, na wengn wachache sana
kweli,nalo hilo neno.Kila mtu afe kivyake, ndio maisha ya mjini..
Mkuu kumbadilisha mtu hasa msanii ni tabu mno...Ndio Identity zao walizozizoeakweli,nalo hilo neno.
nalo neno,ila nadhan title hapo ndo pa kuanzia by physcal means.Don't Judge The Title Of The Book