Tatizo wabongo ukikosoa kidogo unaonekana hater!Kaboba unanikosea mkuu,nawapenda sana hawa Jamaa,ni very creative,
Wanapokesea unawaweka sawa ili wapige hatua,
Kaboba unanikosea mkuu,nawapenda sana hawa Jamaa,ni very creative,
Wanapokesea unawaweka sawa ili wapige hatua,
Hapana sikumaanisha hivyo,nilisoma vibay Jina lake.Kumradhi ndugu kabombe.Kaboba Joti au? Nimecheka sana mkuu
kama huyu anakonkiwa basi potezia! ulimwengu ni mdogo tunaona kila kitu! huoni aibu kwa umbea?Hakuna aliyehudhuria je hata waandaaji hawapo? Umevimbiwa mabibo wewe?..
Na pesa za korosho zmekuwa nyingi sanaMatamasha yamekuwa mengi sana....
kama ni jinsia hata k hustahili! ulimwengu ni mdogo! kila kitu kinaonekana! angalia wasikukonkUwanja mweupe
hakuna aliyehudhuria
kweli sound haikuwa poa ila ndio mwanzo nadhani mwakani mambo yatakuwa mazuriLabda unamasikio ya ki clouds ila nimeingia mtwara toka saa moja jioni ya leo.japo siko uwanjani ila sound mbona inasikika vizuri tu.
hajasema kuwa haisikiki, bali kasema kuwa sauti haiko vizuri (very poor sound) sio low soundLabda unamasikio ya ki clouds ila nimeingia mtwara toka saa moja jioni ya leo.japo siko uwanjani ila sound mbona inasikika vizuri tu.
Rejea Post namba 15,
kweli umeongea mzee baba sound engineering wetu bado sana aisee kweli ukitaka kujua angalia show aliyokuja future utaelewaMnaosema kweupe mnaangalia kwenye zile TV za black and white. Ila mziki ni tatizo la matamasha mengi, tz hatuna watu wazuri wa sound engineering.
Wale wa South Africa walifunga mziki pale leaders wa viwango vya kimataifa.kweli umeongea mzee baba sound engineering wetu bado sana aisee kweli ukitaka kujua angalia show aliyokuja future utaelewa
yah ila bado haikua sawa sawa nilihudhuria lile tamasha bt alivyoingia future kidgo ila sound ilikua kiasi chake ila fiesta nimehudhuria toka 2011 sound bado ni changamotoWale wa South Africa walifunga mziki pale leaders wa viwango vya kimataifa.
naskia wanaitwa printime production au nimekosea spelling??Wale wa South Africa walifunga mziki pale leaders wa viwango vya kimataifa.