NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 484
- 510
Hao jamaa waache fix, mambo ya waraka kila mwaka wakati nchi inaenda kuzimu ni kutuchezea akiliWaraka wa leo utakaosomwa ndo mtaona utofauti wa dini na utapeli .
Hao jamaa waache fix, mambo ya waraka kila mwaka wakati nchi inaenda kuzimu ni kutuchezea akiliWaraka wa leo utakaosomwa ndo mtaona utofauti wa dini na utapeli .
Marais wote kwa upande wa wa kristo ni RC na Makamu wa Rais waliotoka bara wote ni RC,hivyo lazima RC wawe na ushawishi kwenye utawala wa nchi kwa kuzingatia kuwa mfumo wa RC ni Dola inayojitegemea na yenye mamlaka kamili.I will beg to differ, vile catholic ipo before uhuru wa nchi hii, na wamekuwa wakionya vipngoz wa ccm i dont think ni simple like that
Catholic is the only chirch vipngz wake wanaonya hata kama hamtaki kusikia
Nyanokoumeandika upumbavu
Timiza wajibu dai haki , unahaki ya kuzikwa kama muumini lakini pia timiza wajibu wako kwa kufuata taratibu na sheria za kanisa.Makanisa yenyewe hayana moral authority dhidi ya serikali. Kanisa katoliki ambalo ukifa hujatoa zaka ya 10,000 wanakataa kukuzika japo miaka ya nyuma ulishatoa mamilioni.
Mfano wa vizuizi kama vipi mkuu , au unataka watu wasome bure? Je hizo shule zitajiendeshaje wanafunzi wakisoma bure ?Kanisa ambalo kwa miaka yote limeweka vizuizi kwa masikini kujiunga na shule zake.
Hakuna mtu anaelazimishwa kwenda seminary mkuu lazima ufuate sheria zake.Kanisa ambalo halina msamaha kwa wanafunzi wa seminary zake hata pale wanapofanya kosa dogo tu wanafukuzwa, leo litahubiri msamaha madhabahuni.
Unataka kanisa likupe wewe ardhi mkuu? Na je hio ardhi kanisa linapewa bure huko vijijini au linavamia na kupora .Kanisa ambalo mpaka leo linachukua ngoto kwa wanavijiji masikini ili kuwakodisha ardhi huko Morogoro. Kwa nini lisiwape kama kweli linahubiri matendo ya huruma.
Kanisa ambalo kama huna hela, wako tayari ufie getini kuliko kukupa hata panado katika hospital zao
Nadhani watoe boriti katika macho yoo
ccm yako inayofanya uwaoni.mbona unajua mdomo wako kufanyia usafi sana kuliko kinyeo chako unavotoa maviMakanisa yenyewe hayana moral authority dhidi ya serikali. Kanisa katoliki ambalo ukifa hujatoa zaka ya 10,000 wanakataa kukuzika japo miaka ya nyuma ulishatoa mamilioni.
Kanisa ambalo kwa miaka yote limeweka vizuizi kwa masikini kujiunga na shule zake.
Kanisa ambalo halina msamaha kwa wanafunzi wa seminary zake hata pale wanapofanya kosa dogo tu wanafukuzwa, leo litahubiri msamaha madhabahuni.
Kanisa ambalo mpaka leo linachukua ngoto kwa wanavijiji masikini ili kuwakodisha ardhi huko Morogoro. Kwa nini lisiwape kama kweli linahubiri matendo ya huruma.
Kanisa ambalo kama huna hela, wako tayari ufie getini kuliko kukupa hata panado katika hospital zao
Nadhani watoe boriti katika macho yoo
Bora ukae kimya kama mimiMakanisa yenyewe hayana moral authority dhidi ya serikali. Kanisa katoliki ambalo ukifa hujatoa zaka ya 10,000 wanakataa kukuzika japo miaka ya nyuma ulishatoa mamilioni.
Kanisa ambalo kwa miaka yote limeweka vizuizi kwa masikini kujiunga na shule zake.
Kanisa ambalo halina msamaha kwa wanafunzi wa seminary zake hata pale wanapofanya kosa dogo tu wanafukuzwa, leo litahubiri msamaha madhabahuni.
Kanisa ambalo mpaka leo linachukua ngoto kwa wanavijiji masikini ili kuwakodisha ardhi huko Morogoro. Kwa nini lisiwape kama kweli linahubiri matendo ya huruma.
Kanisa ambalo kama huna hela, wako tayari ufie getini kuliko kukupa hata panado katika hospital zao
Nadhani watoe boriti katika macho yoo
Mababu zetu walikuwa hawana tawala? Je waliachianaje madaraka?Kuna dini inafundisha kugangania madaraka ?
Kuiba kura ?
Kuwa mwizi wa rasilimali za Taifa n.k
Umasikini wetu , hausababishwi na dini ni ujinga wa MTU mweusi .
Nashangaa sana watu wanaowasifia kanisa Catholic wakati wao ni wanufaika namba Moja wa Uongozi wa CCM. Kwa ufupi madhira wanayosababisha CCM kwa Watanzania huwezi kuyatenganisha na kanisa.Ccm + Catholic
Ndoa yao ni ya miaka 100
Now tupo mwaka 59
Dola dola.
Dkt Slaaa na wakatoliki wengine wapo Cdm kimkakati tu
Mababu zetu walikuwa hawana tawala? Je waliachianaje madaraka?
Kwa nini?Bora ukae kimya kama mimi
wewe ni masikini wa akili jenga wewe hospitali utibie masikini bure au jenga shule yako usomeshe masikini bure.Nyanoko
hebu gusia hoja ya zinajengwa kwa misaada ya waumini lakini baadae waumini hawaambulii kitu, nadhani ndo hoja yake ya msingiwewe ni masikini wa akili jenga wewe hospitali utibie masikini bure au jenga shule yako usomeshe masikini bure.
Umevuta misigara yako kwa pesa zako umeanza kuugua unataka utibiwe bure au umezaliana bila mipango maisha yamekupiga unataka watoto wasome bure! Kisa ulichangia ujenzi wewe ni MPUMBAVU!
Sio tofauti ya dini na utapeli, ni viongozi wa kweli dhidi ya viongozi matapeli.Waraka wa leo utakaosomwa ndo mtaona utofauti wa dini na utapeli .
Okay, tuseme wewe ulichangia laki mbili ujenzi wa shule ya parokia yako unayosali. Then what?hebu gusia hoja ya zinajengwa kwa misaada ya waumini lakini baadae waumini hawaambulii kitu, nadhani ndo hoja yake ya msingi
Nyaraka za kinafiki, fedha za MoU wanakula kwa matonge mbona hawazikataiSawa mgalatia, kobaz hawakususa waraka baada ya mfungo.
Kilio cha waumini wengi ni baadae watoto wao wapate fursa ya kusoma kwenye shule walizozijengaOkay, tuseme wewe ulichangia laki mbili ujenzi wa shule ya parokia yako unayosali. Then what?
Waraka umesomwa na vijana wameupokea na sasa wanaujadili na hawaelewiWaraka wa leo utakaosomwa ndo mtaona utofauti wa dini na utapeli .