Wapinzani hawasomeki, hawana msimamo vigeugeu wasio na msimamo

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,418
6,997
Kabla ya kuingia madarakani Hayati Magufuli walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya Hayati Magufuli amefariki na sasa ameingia Rais Samia kuwa Rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpole, sio mkali kama Hayati Magufuli?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.
Kuna tofauti kati ya kuwa mkali na kuwa katili/muuaji. Magufuli slikuwa katili na muuaji, aliua wote waliompinga au kuhoji utendaji wake
 
713Pdjb2+KL._AC_SL1001_-1.jpg

Kama unaupenda mzoga kiasi hicho ufuate hukohuko
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya hayati JPM amefariki na sasa ameingia mama Samia kuwa rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpore, sio mkali kama hayati JPM?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
Yani kwa akili yako unadhani Magufuli alikuwa kiongozi? Yule alikuwa anaipeleka peleka nchi tuu na yaliyotokea kwake huenda ni mpango wa Mungu kwa watu wake. Yani unakaa kabisa unawaza kuwa Magufuli naye kwenye kundi la viongozi wanaoitwa viongozi yumo? Pole sana naona sonona inakupeleka kasi!

Jaribu upelekewe moto huenda ukakaa sawa.
 
Yani kwa akili yako unadhani Magufuli alikuwa kiongozi? Yule alikuwa anaipeleka peleka nchi tuu na yaliyotokea kwake huenda ni mpango wa Mungu kwa watu wake. Yani unakaa kabisa unawaza kuwa Magufuli naye kwenye kundi la viongozi wanaoitwa viongozi yumo? Pole sana naona sonona inakupeleka kasi!

Jaribu upelekewe moto huenda ukakaa sawa.
We kenge naona umeamka makalio yanakuwasha ili umwagiwe shahawa.
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya hayati JPM amefariki na sasa ameingia mama Samia kuwa rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpore, sio mkali kama hayati JPM?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
Elimu elimu elimu ndicho kitu umekosa masikini 🤣🤣🤣 nan alikwambia kiongoz bora ni ni mkali??? Halafu unaandika mama ni mpore 😳 ndo upupu gan huu!!
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya hayati JPM amefariki na sasa ameingia mama Samia kuwa rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpore, sio mkali kama hayati JPM?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
Wewe huna miezi miwili from today, either utakimbia jukwaa au utabadilisha ID. MARK MY WORD
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.
alitumia madaraka vibaya
alivunja katiba mara nyingi mno
alileta ukatili wa kutisha nchini.
ubaguzi wa kikanda na ukabila ulitisha
Uonevu wa wapinzani na kuwabambikizia kesi
kupotea na kujeruhiwa kwa wapinzani
Uporaji wa fedha za watu bila kuzingatia taratibu.
Uharibifu wa chaguzi kwa kutangaza washindi atakavyo yeye na sio wapiga kura.
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya hayati JPM amefariki na sasa ameingia mama Samia kuwa rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpore, sio mkali kama hayati JPM?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
Nawe je; uko kama Sodium Sulfate ambayo haibadiliki kikemikali kutokana na mabadiliko ya mazingira? Basi uko maiti inayotembea.
 
Huu ndio unaitwa uchonganishi, mataga kazi mnayo kwa hiyo unataka mbowe acheze mziki unaotaka wewe,zama za yohana mbatizaj zimepita hamia kwa Yesu baba ndio habari ya mjiniiii.
 
Kabla ya kuingia madarakani hayati JPM walikuwa wanataka kiongozi mkali atayepinga ufisadi na kupambana na wala rushwa. Atakayekemea wanaotumia vibaya madaraka na wazembe.

Bahati mbaya hayati JPM amefariki na sasa ameingia mama Samia kuwa rais wa JMT sasa wanashangilia na kufurahi. Kwa nini wanafurahia?

Wanajua huyu mama ni mpore, sio mkali kama hayati JPM?

Kwa ufupi wapinzani wa Tanzania hawana msimamo na wapo kimasirahi zaidi.
Mbona hata kijani hatuna msimamo,mbona kuna waliokwamia away iliyopita bado,mbona wanakiuka imani yeti kuwa kijani ni ile ile.
 
Kwa akili hizi huwezi kuwa mpinzani maisha yako yote!!

Wapinzani hatukusema tunataka rais kwa kuuwa watu , kupotea , kutotaka ukweli kwa mkaguzi wa serikali , etc
Jikite kwenye mada kuu.
 
Back
Top Bottom