Weee!Jamani mnashindwa kuwaambia? Mwanaume akisema mke wangu sipendi hiyo tabia yako unavyofanya..huwa tunaelewa. Sauti ya baba kwenye nyumba ina nguvu sana na si rahisi kukaidi.
Weee!Jamani mnashindwa kuwaambia? Mwanaume akisema mke wangu sipendi hiyo tabia yako unavyofanya..huwa tunaelewa. Sauti ya baba kwenye nyumba ina nguvu sana na si rahisi kukaidi.
Hapa sasa kuna haja ya kuanza kampeni ya kusisitiza kila toilet kiandikwe kibao chenye maandishi "ZIMA SIMU YAKO KABLA YA KUINGIA AU USIINGIE NA SIMU" Hii itasaidia kwa kiasi fulani kunusuru tatizo hiloHata kuchamba hawachambi wengine wapo busy na Simu ha ha
unataka achezee kichapo! kama anamkimbia manake kamshindwaWhy usimuambie?au usichukue simu yake na kuizima?
Kule kwetu Mara tumewaambia sana hadi tumechoka sasa hivi tunapiga tu!!!!Jamani mnashindwa kuwaambia? Mwanaume akisema mke wangu sipendi hiyo tabia yako unavyofanya..huwa tunaelewa. Sauti ya baba kwenye nyumba ina nguvu sana na si rahisi kukaidi.