aje?Namtongoza
Dah halafu hamjui tu sisi mbona waelewa mkituambia tunaona huyu kweli kanipenda mahusiano yanakuwa ya uhakikaNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Kijerumani hiyo. 🤣Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Kwanini tai? Mfungukie mwamba uupe moyo haki yake.Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Ukute mwanaume maharage ya mbeya kama mimi, ni chap kwa haraka umenipataNamtongoza
Tongoza wewe si mnataka 50/50Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
Kwa akili za wanaume wengi navyozijua naogopa sana badae yanaweza yakanirudia aniambie si ulinitaka mwenyewe, hapo napigwa matukio kama yote. Sitaki kabisa naogopa.Dah halafu hamjui tu sisi mbona waelewa mkituambia tunaona huyu kweli kanipenda mahusiano yanakuwa ya uhakika
Kijerumani hiyo.
Your lossNasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Na ndivyo inavyotakiwaKwa akili za wanaume wengi navyozijua naogopa sana badae yanaweza yakanirudia aniambie si ulinitaka mwenyewe, hapo napigwa matukio kama yote. Sitaki kabisa naogopa.
Akaa! Naogopa.Kwanini tai? Mfungukie mwamba uupe moyo haki yake.
sio muumini wa falsafa hiyo.Tongoza wewe si mnataka 50/50
Mtapoteza mnaowapenda bure😁Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
Utakufa na kihoro shauri yako wenzio siku hizi wanafungukaAkaa! Naogopa.