Wanawake hupenda mwanaume afanye hivi

Hapa umenena mkuu, hakika kizazi hiki kimeniboa sana hili uliloandika hapo linawa_cost sana
Mwanamke hapendi kuambiwa ukweli ukimwambia ukweli anakasirika, kwa Hiyo mwanaume muongo ndio sukari ya warembo
 
Kama hupigi mchokocho vzuri utabeba sana mabeg na tuzo za ugentleman utapewa sana lkn ATAGONGEWA tuu mana hakuna namna
 
Wanawake walio wengi hawatabirikagi na mifano Elfu ya kusema hivi....So usimalize muda kutaka kujua apendacho na asichokipenda walahi utazeekea library kusoma vitabu vya "THINGS WOMEN WANT MOST IN A MAN" na hutopata.
 
WHAT THINGS MAN NEED TO KNOW

ladies wanapenda yule mwanaume ambae romance yake inapelekana nakutoa,

Yule mwanaume anakupeleka kwa show alafu ile kitu yoyote unakula kwenye hiyo show he takecareoff

Ladies wanapenda yule mwanaume kukiwa na barid anakutolea koti yake uvae na ni yeye anakuvalisha

Yule mwanaume mkicross kwa barabara anakushika mkono na anakubebea handbag ......

Now the problems is......... ........

Akuna MWANAUME Mpumbavu kias hicho akunaaaaaaaaa



Umeanza vyema, ukahitimisha visivyo.

You forgot. `LOVING A MAN/WOMAN IS OK, BUT NOT ENOUGH',.
 
Hawa viumbe hawaeleweki kama sehemu zao za siri zilivyo hivyo usijipe jaka moyo bure kutaka kujua wanataka nini
 
Acha filamu wewe, mwanamke bila wallet iliyotuna sahau na manjonjo yako hayo
Yaani mvu inanyesha umshikie mwamvuli akati alitakiwa awe ndani ya hata ka Brevis basi ili msilowane wote
 
Mwanamke anapenda mwanamume anayemkumbatia kwa nyuma bila woga mahali popote pale
 
NIMEAMNIN MAPENZI YANA RUN SEHEMU YA DUNIA ISIPOKUWA AFRICA TUU , UJINGA NDO UNA RUN MAPENZI
 
Mapenzi hayana formula kila mmoja kuna kinacho mvutia. Utatembeza wallet mwenzio anapelekewa kwa jamaa ili apingwe show matata.
 
WHAT THINGS MAN NEED TO KNOW

ladies wanapenda yule mwanaume ambae romance yake inapelekana nakutoa,

Yule mwanaume anakupeleka kwa show alafu ile kitu yoyote unakula kwenye hiyo show he takecareoff

Ladies wanapenda yule mwanaume kukiwa na barid anakutolea koti yake uvae na ni yeye anakuvalisha

Yule mwanaume mkicross kwa barabara anakushika mkono na anakubebea handbag ......

Now the problems is......... ........

Akuna MWANAUME Mpumbavu kias hicho akunaaaaaaaaa
Umeongea yote ila umesahau... Pesa ndio main point izo extra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom