Wanawake acheni kulazimisha ndoa

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
26,800
52,345
Wanawake sikuizi mmekuwa na msongo wa mawazo kisa umri umeenda na ulipanga kuolewa ukiwa 25yrs ila hakuna dalili wengine mmekuwa mnabeba mimba ovyo kutegemea watawaoa mbaya sana iyo

Jikite kutafuta pesa kama ndoa ipo utaolewa ila jikite kupata maokoto kama umri unaenda na unataka mtoto ukibeba mimba kwa kudhamiria ila mwanaume alikuwa ataki na kabla uja beba weka akilini mwanaume akikataa utalea mwenyewe bila kumsumbua kwasababu wewe ndio mwenye shida na mtoto sio yeye

Kuna wanawake wengine wapo vizuri sana ana mwambia kabisa mwanaume na mimba analea mwenyewe mwanaume asipo mtunza hana muda analea na kumtunza mwanae na mtoto akitaka kumuona baba yake ana muona kwa wakati bila pangamizi hamjazi sumu mtoto ili amchukie baba yake

Ila sasa ninyi wengine mlio kuwa mnataka ndoa mkakosa mkaishia kubeba mimba mnasumbua sana mnafanya watoto kama ndio kitega uchimi wenu yaani unashida na hela ya kusuka una ibuka kwa baba mtoto matusi kibao unajua mwanao anakula nini anavaa nini haipendezi
 
Wanawake sikuizi mmekuwa na msongo wa mawazo kisa umri umeenda na ulipanga kuolewa ukiwa 25yrs ila hakuna dalili wengine mmekuwa mnabeba mimba ovyo kutegemea watawaoa mbaya sana iyo

Jikite kutafuta pesa kama ndoa ipo utaolewa ila jikite kupata maokoto kama umri unaenda na unataka mtoto ukibeba mimba kwa kudhamiria ila mwanaume alikuwa ataki na kabla uja beba weka akilini mwanaume akikataa utalea mwenyewe bila kumsumbua kwasababu wewe ndio mwenye shida na mtoto sio yeye


Kuna wanawake wengine wapo vizuri sana ana mwambia kabisa mwanaume na mimba analea mwenyewe mwanaume asipo mtunza hana muda analea na kumtunza mwanae na mtoto akitaka kumuona baba yake ana muona kwa wakati bila pangamizi hamjazi sumu mtoto ili amchukie baba yake

Ila sasa ninyi wengine mlio kuwa mnataka ndoa mkakosa mkaishia kubeba mimba mnasumbua sana mnafanya watoto kama ndio kitega uchimi wenu yaani unashida na hela ya kusuka una ibuka kwa baba mtoto matusi kibao unajua mwanao anakula nini anavaa nini haipendezi
Na hivi unajua mapishi ndio balaa Sana , vipi mkuu kimetokea nini huko
 
Aisee hii hali iko duniani kote Wanawake wamekuwa wakihangaika na kubembeleza mahusiano. Miaka mitano ijayo hiyo hali na hapa Tanzania itakuwa imeshakua kama huko nchi za Ulaya na Asia. Kuna mitandao ukiingia yaani unapapatikiwa na Wanawake wa Kizungu mpaka unajiuliza sasa hawa nitawafikia au watanifikia Vipi?

Kimsingi Wanawake wengi Wana hali mbaya na mfadhaiko sana wa kihisia.
 
Aisee hii hali iko duniani kote Wanawake wamekuwa wakihangaika na kubembeleza mahusiano. Miaka mitano ijayo hiyo hali na hapa Tanzania itakuwa imeshakua kama huko nchi za Ulaya na Asia. Kuna mitandao ukiingia yaani unapapatikiwa na Wanawake wa Kizungu mpaka unajiuliza sasa hawa nitawafikia au watanifikia Vipi?

Kimsingi Wanawake wengi Wana hali mbaya na mfadhaiko sana wa kihisia.
Mnawapata wapi hao wanaowabembeleza muwaoe mbona mimi ephen_ kila nikitupia vocal anarukaruka kama popcorn?
 
Aisee hii hali iko duniani kote Wanawake wamekuwa wakihangaika na kubembeleza mahusiano. Miaka mitano ijayo hiyo hali na hapa Tanzania itakuwa imeshakua kama huko nchi za Ulaya na Asia. Kuna mitandao ukiingia yaani unapapatikiwa na Wanawake wa Kizungu mpaka unajiuliza sasa hawa nitawafikia au watanifikia Vipi?

Kimsingi Wanawake wengi Wana hali mbaya na mfadhaiko sana wa kihisia.
Ngorongoro kuna sexwork kuna wazungu wanakuja kwaajili ya kupigwa mbupu tu na kusepa
 
Mnawapata wapi hao wanaowabembeleza muwaoe mbona mimi ephen_ kila nikitupia vocal anarukaruka kama popcorn?
Asianvibe.com
Juliettdate.com

Ukitaka kuchati nao lazima ununue crdt lakini hata ukijisajili tu tena kwa information za uongo na picha ya uongo utakuwa unatumiwa message za kubembelezwa na picha private za kutosha
 
Back
Top Bottom