Wanaume wachache: Huu utafiti umefanyiwa wapi? Na nani? Kwanini?

Pole najua yameikuta familia yako...ili Dunia i balance lazima mambo kama ayo yawepo..
 
Nijuavyo jinsi ya ME ni sawa tu na KE ila sasa kuna tatizo hapa hao ME wako ktk category tatu. Ie wanaume, wavulana na mapunga so tusidanganyane nature ndio iko ivo (ratio ni 1:1).
Nawewe upo kwenye category gani kati ya wavulana na mapunga....mana naona kwenye wanaume haupo......kama ni ke utanisamehe................
 
Kawaida mwanamke anapokuwa kwenye umri Fulani hasa kuanzia miaka 18-26 atawaona wanaume ni wengi sana na pengine utakuwa na uthubutu hata wa kupingana na takwimu za kidunia kuwa wanaume ni wachache.

Lakini subiri ufikishe miaka 30+ hapo kweli ndio utaamini wanaume ni wachache sana kulinganisha na wanawake.
 
Men(me being among them) are very cruel... They beat up their sister for fornication while themselves are the biggest fornicaters. I am am thankful to god that I am gentle.
 
Kazi ya mwanaume nikumpanda mwanamke nakumzalisha watoto kwakadri awezavyo.kwaiyo mabadiliko ya zama na shughuli za dunia hazijafuta ilo jukumu.kwaiyo usitumie hisia kuikosoa nature maana hutakaa huweze.unachotakiwa kukilinda ni watoto chini ya 18 ayo ya wanawake watu wazima utakesha.
 
Kazi ya mwanaume nikumpanda mwanamke nakumzalisha watoto kwakadri awezavyo.kwaiyo mabadiliko ya zama na shughuli za dunia hazijafuta ilo jukumu.kwaiyo usitumie hisia kuikosoa nature maana hutakaa huweze.unachotakiwa kukilinda ni watoto chini ya 18 ayo ya wanawake watu wazima utakesha.

Sawa,hongera zako.Leo hii wewe kuweza kuandika,ni kwamba umesomeshwa na wazazi,walihangaika ukale,ukavae usome,leo upo JF,mama yako huenda hana hata kisimu cha tochi,unajiona mjanja.Angeendekeza uhuni kama unaousapoti hapa ungekua unaongea hivi? Kwa hiyo baba yako ni mjinga! Si ndiyo?! Kwa sababu hajaendekeza kupanda wanawake na kuwazalisha!Hongera saana maana inaonekana na vichaa wajawazito unawashugulikia wewe wa mtaani huko.Si na wao wanawake?! Af watu wengine kama vike mna laana na hamjijui!Unaona kupanda kila mwanamke ndo utapata sifa ya kuwa mwanaume rijali!Huku unashindia chips mayai! Lakini sawa tu!Akili nywele,kila mtu ana za kwake. Bora ungejisifia kuwasaidia watoto yatima hilo la kulala na kila mwanamke sikuungi mkono.Maana mtalimbo umepewa bure,basi chovya bure.Japo nina wasiwasi na unachoeneza
 
Back
Top Bottom