Wanaume tukumbushane tu mambo machache tunapochagua mke wa ndoa

Xi Jinping

JF-Expert Member
Jun 14, 2023
2,074
6,597
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kumfanya mwanamke kuwa mke wako wa ndoa.

Kwa leo tuangazie matatu tu kwa kifupi ili tuendele na shughuli za ujenzi wa taifa.

Iko hivi, unapotaka kuoa kwanza usijifikirie wewe tu, ni kweli chagua mwanamke ambaye anakuvutia lakini ukumbuke hujichagulii tu wewe peke yako mke kumbuka pia:

1. UNA JUKUMU ZITO LA KUWACHAGULIA WATOTO WAKO MAMA BORA KWA MALEZI NA MAKUZI YAO.

2. UNA JUKUMU LA KUCHAGUA MKE AMBAYE ATAKUWA BINTI (MKA MWANA) BORA KWA WAZAZI WAKO.

3. USISAHAU KUWACHAGULIA KAKA NA DADA ZAKO MKE ATAKAYEKUWA SHEMEJI NA WIFI MZURI KWAO.

BILA KUSAHAU NDUGU NA MARAFIKI ZAKO WA KARIBU WAKIJA KWAKO WASEME KWELI UMEPATA MKE MWEMA.

Usiangalie tu urembo, tako, mwonekano, shape, elimu au kazi anayofanya kuna maisha baada ya kufunga ndoa.

A shameless wife will not only shame you but your children and family.
 
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kumfanya mwanamke kuwa mke wako wa ndoa.

Kwa leo tuangazie matatu tu kwa kifupi ili tuendele na shughuli za ujenzi wa taifa.

Iko hivi, unapotaka kuoa kwanza usijifikirie wewe tu, ni kweli chagua mwanamke ambaye anakuvutia lakini ukumbuke hujichagulii tu wewe peke yako mke kumbuka pia:

1. UNA JUKUMU ZITO LA KUWACHAGULIA WATOTO WAKO MAMA BORA KWA MALEZI NA MAKUZI YAO.

2. UNA JUKUMU LA KUCHAGUA MKE AMBAYE ATAKUWA BINTI (MKA MWANA) BORA KWA WAZAZI WAKO.

3. USISAHAU KUWACHAGULIA KAKA NA DADA ZAKO MKE ATAKAYEKUWA SHEMEJI NA WIFI MZURI KWAO.

BILA KUSAHAU NDUGU NA MARAFIKI ZAKO WA KARIBU WAKIJA KWAKO WASEME KWELI UMEPATA MKE MWEMA.

Usiangalie tu urembo, tako, mwonekano, shape, elimu au kazi anayofanya kuna maisha baada ya kufunga ndoa.

A shameless wife will not only shame you but your children and family.
Hii ndo kama ile unakesi mahakamani unapnga point zako, ukifika mahakamani ukimuona hakimu, point zinapotea unapuyanga maeneno Yako........you are still young kuwa uyaone ndo utaelewa......Kuna siku utafungua thread nyingine ya kukanusha ulicho kisema..........
 
Hii ndo kama ile unakesi mahakamani unapnga point zako, ukifika mahakamani ukimuona hakimu, point zinapotea unapuyanga maeneno Yako........you are still young kuwa uyaone ndo utaelewa......Kuna siku utafungua thread nyingine ya kukanusha ulicho kisema..........
Asante kwa maoni yako.

Ila kwa mwanaume makini anakuwa na standards za mwanamke wa kumfanya mke wake wa ndoa


 
Back
Top Bottom