Mara zote hubweteka na huwepo ile fikira ya kwamba eti yeye ndo mama wa mji hivyo inampelekea mpaka kusahau majukumu yake ya mhimu hasa ndoa. Huyo wa nje anajua kabisa kwamba anatumika kwa mda ndo maana hujitahidi kunogesha sana.ok sawa huyo wa nje anafanya mbwembwe,ndo ucheat? why usimwambie mkeo ajirekebishe pale alipokosea?
La mwisho kabla sijakujibumimi ni ke,miaka 25
Something is wrong!mimi ni ke,miaka 25
hakuna pepo hapo na je wasio mjua yesu na wako ndan ya ndoa kwa utulivu?ni pepo ndugu yangu! kama hakuna kumfuata Yesu ndani ya nyumba basi ujue shetani katawala! ni mapepo na watu kuyakubali yawaingie na hili swala sio la mwanaume tuu bali na wanawake! mjue aduni yako ni nani?
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?
Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?[/QUOTE.Haya mambo magumu sana hayana fomyula kabisa
Naanza kuhesabu comments nijue ni wangapi wameoa humu
La mwisho kabla sijakujibu
Je umeolewa au unaishi na hawara...?
Emoj wewe mkaka au mdada?ndo si kuvumiliana mpendwa? hasikii yakupasa uvumilie huenda iko siku atakuelewa na sio kwenda kuchepuka
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?
Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
Haya mliooa Tafadhali mje mtuambie n nini kinachowafanya msimtulize huyo athumani kichwa wazi tundu la utosi kwa wake zenu
mpe penzi wakati unampa akikaribia kileleni mwambie hayoHawasikii ukimwambia wanakua wakali sana ndugu hivyo anavyo fanye yeye anahisi yuko sahihi kabisa
Sasa mpenzi wa nn na una mke??? Ukishakuwa kwenye hutakiwa kuwa na huyo wa kufanya mbwembweUnajua wanawake walio wengi wakisha olewa wanajisahau sana mambo mengi wanayafanya kwa mazoea tuu tofauti na ukiwa na mwanamke ambaye anajua kuwa una mke atafanya mbwembwe za kila aina ili amzidi huyo mkeo hivyo inafanya mwanaume huyo asipokua makini kuhamisha hisia zake zote kwa huyo mpenzi mpya
Sema neno tu mpendwangoja niwe mmbea hapa