Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

ok sawa huyo wa nje anafanya mbwembwe,ndo ucheat? why usimwambie mkeo ajirekebishe pale alipokosea?
Mara zote hubweteka na huwepo ile fikira ya kwamba eti yeye ndo mama wa mji hivyo inampelekea mpaka kusahau majukumu yake ya mhimu hasa ndoa. Huyo wa nje anajua kabisa kwamba anatumika kwa mda ndo maana hujitahidi kunogesha sana.
 
ni pepo ndugu yangu! kama hakuna kumfuata Yesu ndani ya nyumba basi ujue shetani katawala! ni mapepo na watu kuyakubali yawaingie na hili swala sio la mwanaume tuu bali na wanawake! mjue aduni yako ni nani?
hakuna pepo hapo na je wasio mjua yesu na wako ndan ya ndoa kwa utulivu?
 
kujisahau kwa mwanamke ndan ya nyumba ni miongon mwamatatizo yanayosababisha michepuko
ok kajisahau.kwanini usimwambie mke wangu unajisahau hapa jirekebishe kuliko kwenda kuchepuka?, kuchepuka ndo suluhisho?
 
Hawasikii ukimwambia wanakua wakali sana ndugu hivyo anavyo fanye yeye anahisi yuko sahihi kabisa
ndo si kuvumiliana mpendwa? hasikii yakupasa uvumilie huenda iko siku atakuelewa na sio kwenda kuchepuka
 
B
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?[/QUOTE.Haya mambo magumu sana hayana fomyula kabisa
 
Ndo habar ya dunia nzima kama we haupendi hama duniani
sio dunia nzima Ni watanzania ndo mmezidi,wa nje huko wako waaminifu na ndoa zao tho sio wote ila asilimia kubwa yao waaaminifu sana .
 
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?

kabla ya ndoa tayari watu wanagegedana na kuchepuka unategemea kuwa wakiwa kwenye ndoa ndio itakuwa tofauti....hilo haliwezekani. ata wanawake nao pia wanachepuka maana kabla ya kuolewa sio chini ya wanaume 4 wameshamgegeda
 
Michepuko mitamu balaaa yani anafanya vitu had unapenda ila sasa make Mara anune,kupika alike mdada Wa kaz, bado mchafu,kwenye bed unazinguwa tu unalala kama maiti hutikisiki,Mara umechoka, yani sababu nyinyi nyingi sasa si bora nimtafute mchepuko Nile vitu vitamu na kubembelezwa kama mtoto
Badilikeni mkiwa mjaolewa mnambwembwe ila mkishaolewa tu basis mbwembwe zote mnaacha mnajifanya eti mmekuwa ,kwenye kupeana raha hakuna kukuwa binuka weka mguu 90 degrees ili mwenzako aweze kufaidi
Ndiy mama waliyoowa wengi wanamichepuko yao ,wew huoni MTU anatoka kazini SAA kumi ila anakuja home SAA tano au NNE na bado wikend hakaliki home anaenda kupewa raha na kupata supu nzuri siyo wew asubuh tu umempikia michai ya rangi na mikate
Kwanza niishie hapa takuja baadaye
 
Unajua wanawake walio wengi wakisha olewa wanajisahau sana mambo mengi wanayafanya kwa mazoea tuu tofauti na ukiwa na mwanamke ambaye anajua kuwa una mke atafanya mbwembwe za kila aina ili amzidi huyo mkeo hivyo inafanya mwanaume huyo asipokua makini kuhamisha hisia zake zote kwa huyo mpenzi mpya
Sasa mpenzi wa nn na una mke??? Ukishakuwa kwenye hutakiwa kuwa na huyo wa kufanya mbwembwe
 
Back
Top Bottom