Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Yaani mtu umesema ngoja basi tusogeze maisha Bado anakunanga , na Hela Hana😂
Kwani alikulazimisha akuoe?

Wewe akili huna,Mwanamke mwenye akili timamu na maadili hawezi kuanza kumsema mumewe mitandaoni eti hana hela!!

Wakati anakuoa hizo hela alikua nazo? Kwanini ulikubali akuoe?

Kama maisha yamekushinda rudi kwenu,kulalamika mitandaoni hakuwezi kukusaidia lolote,

Mwanamke timamu hawezi kutangaza maisha yake na ya mumewe mitandaoni.
 
Kuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Mind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!

Minding your own Business
Is a Full time Job
Stay Employed.
 
Wasichana wengi ambao sio waislamu hawajui kupika, hasa wenye kutoka familia zinazojiweza. na pia sio wasafi kulinganisha na wasichana wa kiislamu. utakuta kucha ndefu, kuvaa tight, wigi n.k

Oa mwanamke wa kiislamu hutajutia. wengi wanajua kupika, ni wasafi sana hasa ukipata anayesali ndio utafurahi mana ni msafi muda wote.
 
XYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mik ono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
We bwege nini, kama nyinyi mnavoolewa ili mulelewe na kupewa hela za bure na sisi tunaoa ili tusaidiwe kufua na kupika.
 
Mie kumpikia, kumfulia na kumfanyia vitu vingine shemeji yenu najisikia raha sana! Na wala si kutumikishwa...! Siwezi kumuachia dada afanye vitu vinavyomuhusu mume wangu.
Kwahiyo kwako ni sawa tu ukitukanwa mbele za watu kisa umekosea kufua au kuosha vyombo!?.
 
ulishawahi kuishi na samia ukaona anayafanya hayo kwa mumewe..wanaume mmezidi mfumo dume dunia imechange huezi pima contribution ya mke kwa kuangalia tu mchango wake kwa kazi za ndani ndio maana TEKNOLOJIA imerahisisha maisha kuna machines za kusupport kazi unless otherwise
Bado unafanya na mtu anapata ujasiri wa kukutukana tena hadharani.
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
JIOE dildo zipo bei chee
 
Kwani alikulazimisha akuoe?

Wewe akili huna,Mwanamke mwenye akili timamu na maadili hawezi kuanza kumsema mumewe mitandaoni eti hana hela!!

Wakati anakuoa hizo hela alikua nazo? Kwanini ulikubali akuoe?

Kama maisha yamekushinda rudi kwenu,kulalamika mitandaoni hakuwezi kukusaidia lolote,

Mwanamke timamu hawezi kutangaza maisha yake na ya mumewe mitandaoni.
Wee umejuaje kama ni maisha yangu binafsi!?, Kwani mtu hawezi kuongea kutokana na anayoyaona kwenye jamii inayomzunguka!?.
Tatizo mmekariri mtu akileta mada basi inamuhusu Moja kwa moja , ondoa hizo fikra.
 
Back
Top Bottom