Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,837
- 36,581
Viongozi wanatulaumu wananchi wakihisi huwenda sisi ndio sababu ya nchi kutokupiga hatua, huku sisi wananchi kwa 100% tukiutupa mzigo mzima wa lawama kwa viongozi maana wao ndio watunga sera zote za kiuchumi.
Kama viongozi wa Kitaifa wanawajumuisha Kizazi og na Wadudu wa Arusha kwenye issue muhimu ya Kitaifa unadhani kuna kitu gani cha maana ambacho viongozi wetu wanacho vichwani mwao vitaleta maendeleo kwa Taifa?.
Kama viongozi wa Kitaifa wanawajumuisha Kizazi og na Wadudu wa Arusha kwenye issue muhimu ya Kitaifa unadhani kuna kitu gani cha maana ambacho viongozi wetu wanacho vichwani mwao vitaleta maendeleo kwa Taifa?.