Wanajeshi wa Korea Kaskazini Waua wanajeshi wa Urusi

dogman360

Senior Member
Oct 15, 2018
138
216
Img_2025_01_21_10_55_22.jpeg
Tukio hilo lilitokea tarehe 13 Januari 2025 karibu na kijiji cha Velikiy Soldatskoye, Mkoa wa Kursk. Wanajeshi watatu wa Jamhuri ya Watu wa Korea Kaskazini (DPRK) waliwaua wanajeshi watano wa Brigedi ya 810 ya Majini. Walitangazwa kuwa wahalifu wanaotafutwa."

Hii ilikuwa Published tare20.01.2025 kwenye chaneli za Telegram za kijeshi za Urusi.
 
View attachment 3208612Tukio hilo lilitokea tarehe 13 Januari 2025 karibu na kijiji cha Velikiy Soldatskoye, Mkoa wa Kursk. Wanajeshi watatu wa Jamhuri ya Watu wa Korea Kaskazini (DPRK) waliwaua wanajeshi watano wa Brigedi ya 810 ya Majini. Walitangazwa kuwa wahalifu wanaotafutwa."

Hii ilikuwa Published tare20.01.2025 kwenye chaneli za Telegram za kijeshi za Urusi.
Mapicha picha tu mbona!!!!
 
Hii ina maana wanajeshi wa Korea Kaskazini wamewasaidia wa Russia? Maana hao wanajeshi si inasemekana walikuwa wahalifu na wanatafutwa huko Urusi!!
 
Back
Top Bottom