Wanafunzi wanaopata ufaulu wa Division One Point 7, kama hawakukariri wapelekwe University moja kwa moja

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Mar 1, 2016
14,289
35,992
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
 
hao wanaopata phd at 12, ni prodogies, ni wachache sana, sana.

kupata I 7 hakuna upekee, ni jambo rahisi mno.

kwa mtu anayehitaji kusoma STEM ni vizuri aende advance akapate misingi ya fizikia na hesabu ambayo ni muhimu mno

fizikia na hesabu za o-level ni cha mtoto
kuna upekee, vinginevyo wote wangekula Div 1 pt 7
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Subiri form six wengine ht two hawapati, nna uzoefu
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
wapite tu six maana wengi uzoefu unaonyesha hawatapata hata division III
 
Kufaulu elimu ya Tanzania unatakiwa uwe na uwezo mzuri wa kukariri,kama mitihani almost yote inasahihishwa kwa marking scheme hapo unamfundisha nini mwanafunzi,lazima akariri ulichomwambia vinginevyo hawezi toboa,na hii tunaifahamu wote humu
Ukiambiwa matter ni nini kama umeanza tofauti ila concept ni ile ile unaeza pewa hata nusu maksi,
Mpaka vyuoni mtindo ni huo huo
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Sikubaliani na hili.

Labda kama ungesema enzi zile kuanzia 2010 kurudi nyuma.

Kwa sasa ni mtelezo hata hawatumii nguvu kujifunza
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Kukariri pia ni uwezo
 
hao wanaopata phd at 12, ni prodogies, ni wachache sana, sana.

kupata I 7 hakuna upekee, ni jambo rahisi mno.

kwa mtu anayehitaji kusoma STEM ni vizuri aende advance akapate misingi ya fizikia na hesabu ambayo ni muhimu mno

fizikia na hesabu za o-level ni cha mtoto
Shule wanazofundisha Advanced Mathematics kwa O-Level, wanaweza kwenda chuo direct kama kweli ni geniuses.
 
Back
Top Bottom