kweli mkuu huku siha tumetengeneza madawati 1000 zaidi ya makadirio sio mblaamblaa za wanasiasa uchwara
Kwani tangu Uhuru si CCM walikuwa madarakani!! Ingekuwa wameshika wengine na tatizo likaendelea kuwepo ndo ungesema hayo!!
Kwani tangu Uhuru si CCM walikuwa madarakani!! Ingekuwa wameshika wengine na tatizo likaendelea kuwepo ndo ungesema hayo!!
Tangu uhuru wa Taifa hili Rais Dr Magufuli anakwenda kuandika record mpya tarehe 1 July 2016 kwa kuwawezesha wanafunzi zaidi ya 98% kukaa katika madawati tangu uhuru wa nchii hii upatikane. Bila kuwa mkali Rais Wangu hili lisingetokea acha wakudhihaki kwani ni tabia ya wadhambi kuwadhihaki watu waliotumwa kuwakomboa katika shida.
Mambo mengi yatakuja nakuishangaza dunia chini ya Dr Magufuli na mataifa yote yataisoma +255